Maaskofu wameuliza swali; Je, watekaji wamevizidi nguvu vyombo vya Dola?
Kwanza tuangalie watekaji wanamiliki nini?
1. Magari ya kifahari, LAND CRUISER, NISSAN n.k., na plate no. za TANZANIA ambazo wanaweza kuvuka hata mpakani mwa nchi na nchi bila shida.
2. Silaha nzito za kivita wanazoweza...
Kati ya mzee JOSEPH BUTIKU na Dr. EMMANUEL NCHIMBI nani ana busara? (Hatima ya mkoa mkoa wa RUVUMA na viongozi wake
Kwa waliosahau, Dr. Nchimbi ndiye alikuwa mbunge wa Jimbo la Songea mjini 2010-2015.
Kwa waliosahau, Dr. Nchimbi ndiye alikuwa waziri wa mambo ya ndani wakati DAUDI MWANGOSI...
Nchimbi kaongea kwa sababu ya press conference ya mzee BUTIKU tu. Hakuna kingine chochote.
Kuhusu maandamano au ghasia yoyote Ile Nchimbi anakua namna ya kushughulika nayo, kwa wasiomjua Nchimbi ni mafia kuliko mafia wote uliowahi kuwajua hapa TZ!!!
Kwanza TUNDU LISSU Bado Yuko hatarini sana mi nafikiri kushindwa kwa jeshi la polisi kuwabaini washukiwa, ni uthibitisho tosha wa kushindwa kwa serikali, bunge na vyombo vyote vya Dola katika kulinda raia wake na kuwahakikishia usalama.
CCM must go!
Ki intelijensia, kama mimi natafuta utambulisho wako halisia kwa muda mrefu na cjafanikiwa kupata, naweza kukuchimba kupitia swali kama hili linaloonekana kuwa la mzaha lakini nikapata vidokezo vya kuendelea kukujua wewe kwa utambulisho wako halisia.
Na baada ya hapo lolote linawezekana...
Hili kweli "Bufa" 🤣🤣🤣 Yaani limetumwa kuja kutusisitizia tuwe chanzo cha kuonesha mabadiliko na ukosoaji waziwazi. Hata kama sipendi picha ya mama basi nijirekodi naichambia halafu nijipost 😂😂😂😂
(Mbeya)
Bufa kwa taarifa Yako haujui siku wala saa, na hamasa itaanzia humuhumu.
HALI ILIVYO NA MAMBO YA KUANGAZIA:
Bado kuna ombwe kubwa la kutofautiana katika ujuzi na maarifa miongoni mwa baadhi ya wahitimu wa vyuo tofauti waliosomea shahada zinazoshabihiana.
Aidha wanafunzi wengi wa vyuo vikuu na wahitimu wa vyuo hivyo wamechagua au wamesomea shahada za fani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.