sasa kosa la nani hapo kama sio wewe au mkeo!!!..
hata kama binti mwenyewe anaonekana anakiburi ila kosa kubwa mmelisababisha wenyewe.
nani alitoa hizo nguo chumbn?!!
Muombee tu msamaha mkeo.
kwa hali aliyokukuta nayo na kwa namna alivyokusaidia lazima tu aumie kwa huo usaliti wako. ukiangalia na mtoto yupo na amemuona na kwa miaka yote umemficha kwa miaka karibia minne.
sijui kama utakuwa mwana ndoa ndugu yangu.
ndoa inauma sana.
kuondoka sio suruhisho.
Na ndoa nyingi siku hizi ni za hivyo hivyo.
vinginevyo ataolewa hata mara kumi na wanaume ndo wale wale na kelo zao ni hizo hizo kama si kuchepuka ni kulewa na mambo mengine.
NDOA NI UVUMILIVU..
Mkuu usiongeze matatizo kwa kukubali kuwa na huyo moreen au mchepuko wako!
watakuua hao wanawake.
mkeo atavuta huku mchepuko huku mwisho wa siku wanakumaliza.
Hao wazazi sio bure kutakuwa kuna tatizo huko makwao.
wote wawili watahamiaje kwako
kwanza ni aibu.
miaka yote hiyo wanaishi kwako...
Mleda mada ahsante sana.
Nilikuwa na hii hii shida na hivi majuzi nimeingia kwenye mtandao nikasoma kuhusu hizihabari na nikajifunza mengi bt bahati mbaya mlengwa wangu yupo dar na mm nipo mkoan!
kuispy sim yake ni shida kwa sababu sipo karibu nae ili kufanya hizo installations.
Ninapata shida...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.