Uko sahihi na ni wachache sana watakoweza kuelewa ile logic. Pili, kimsingi walifeli sana, km waliwalenga wasomi watapuuza upuuzi kuwa mtu anaweza kusoma na asijue gpa na km waliwalenga wapiga kura wao, most hawajui gpa na mbaya zaidi hawatanunua upuuzi kuwa eti msomi ana degree lakini hajui...