Hii sheria ya miaka 30 kisa mimba kwa kweli naiona kama ajenda flani ya siri juu ya wanaume. Ni yakikatili sana. Na angalu ingekuwa inasubili uthibitisho wa DNA.
Nina watoto wa kike ila sidhani kama nitabariki mtoto wa watu afungwe miaka 30 kwa sababu ya nyege za binti yangu vinginevyo...
Pesa yangu, alafu unipangie jinsi ya kuitumia, hehehe!!!!
Shida wabongo wengi hawana akili kabisa. Wamebaki kuigaiga tu.
Unakuta mtu anakomaa kusomesha watoto private from kindergarten to university kisa tu jilani yake ambaye ni banker watoto wake wapo st nani nani. Sasa na yy anataka...
Ndugu yangu kuwa na akiba ya maneno tafadhari. Kwa kauli zako ni sawa kabisa na kauli za yule bosi wa titanic. Lakini hakuamini macho yake siku anaona titanic yake ilivyokuwa inafukiwa na vilindi vya maji pasi na msaada wowote.
Na msingi mkubwa wa hao unaowasifia ni umbumbumbu wa wanaowaongoza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.