Huku Simiyu mjini Bariadi matangazo ya CHADEMA kesho mda huo atakuwepo kamanda Tundu Lisu akihutubia tutafutilia kwa karibu pande zote mwaka, huu hadi kieleweke
Ujumbe huu umekuja muda muafaka kazi kwenu kuhakikisha mnajipanga vzr kumwondoa mkoloni mweusi ccm kwa hujuma zake na ufisadi wa kutisha. Naamini kwa umoja wetu inawezekana.
Unaanzishwa mpango lkn utekelezaji wa bajeti hata robo ya bajeti haifikiwi means hakuna hela zote wamefisadi mipango karibia yote ndan ya halmashauri haitelezeki kwasababu ya kukosa fedha hiyo BRN ni viini macho tu hakuna jipya hapo tutakalopata wa tz that is a shame
Viongozi wa cwt bariadi wamehujumu mfuko wa maafa kwa kufanya ni mradi wao wa kujilipa posho bila kutoa huduma kwa wathirika wanaokumbwa na majanga kama vile vifo na matibabu kwa kisingizio cha mkurugenzi hatoi hundi.
Ni miaka miwili sasa wakiwa wanajinufaisha wenyewe huku wakishindwa kusoma...
Chondechonde viongozi CWT-Bariadi mmediliki kuhujumu fedha za mfuko wa maafa bila hata aibu. Mfuko huu ulianzishwa maalumu kwa lengo la kuwasaidia walimu pindi wanapopatwa na maafa kama vile kufiwa,rufaa,matibabu na majanga mengine kama kuvamiwa na majambazi
Ni takriban miaka 10 sasa toka...
Umetumwa nini????? na inavyoonekana hujitambui uozo uliopo serikalini hata mtu wa kawaida kabisa anaufahamu iweje wewe mtoa mada uje ni majigambo ya kiwenda wazimu humu au ndo buku saba inafanya kazi toa aibu yako humu......
Kwa magamba fursa hiyo ya demokrasia itatoka wapi ameshakuwa chizi tayari. Mtoa mada kakupa full habar ila unabisha bila hoja. Huyo mgombea kwisha hbr yake.
Huyo mzee ni mengi yaliyochangia kwani kwa muda wote ndani ya utumishi wa ccm ni maskin wakutupa huku bosi wake chenge akiwa billionea dhiki,njaa, na umaskin vimechangia achanganyikiwe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.