Recent content by jeshi la mtu moja

  1. jeshi la mtu moja

    Kioo cha solar kimevunjika baada ya kukuanguka chini!nitapata wapi kioo kingine?

    Aisee!naomba msaada nifanyeje Sent from my itel_it1701 using JamiiForums mobile app
  2. jeshi la mtu moja

    Kioo cha solar kimevunjika baada ya kukuanguka chini!nitapata wapi kioo kingine?

    Jamani kioo cha solar kimevunjika baada ya kukuanguka chini!nitapata wapi kioo kingine?au niganyeje?ila inafanya kazi bado!anayejua anisaidie
  3. jeshi la mtu moja

    Hatari Kama Ni hivyo

    Kivipi?kwani nchi zingine zikiungana kama russia China na nchi za ulaya kumwekea marekani vikwazo,he haiwezekani?hapo kuna ninia Sent using Jamii Forums mobile app
  4. jeshi la mtu moja

    Hatari Kama Ni hivyo

    Napenda kujua kwanini marekani anamamlaka kumwekea nchi yoyote duniani vikwazo vya uchumi?anayejua anijulishe Sent using Jamii Forums mobile app
  5. jeshi la mtu moja

    Urusi yapeleka meli za kivita 17 Syria kutokana na hofu ya shambulio la Marekani kwa vikosi vya Syria

    Kipindi hiki lazima zipigwe Sent using Jamii Forums mobile app
  6. jeshi la mtu moja

    Kweli Kenyatta anamwogopa Raila

    Jamani aliyemwapisha Raila kaachiwa huru na serikali ya Kenyatta!
  7. jeshi la mtu moja

    Raila kamshinda kenyatta

    Kajwang aliyemwapisha Rails kaachiwa sasa hivi,hivo Ni pigo kwa kenyatta
  8. jeshi la mtu moja

    Fahamu undani wa vita kati ya Israel na Palestina

    Mimi ninavojua ni kwamba baada ya miaka 70 baada ya Bwana YESU kufufuka na kurudi kwa MUNGU wairael walichukuliwa matekwa wale wenye nguvu na wale dhaifu waloachwa!Israel walioachwa nchini mwao waliendelea kuzaa ila baadhi ya familia yao walizaliana na waarabu na ndyo wapalestina,hivyo Israel...
  9. jeshi la mtu moja

    CIA akiri kumuua Bob Marley akiwa hoi kitandani

    kweli watasema waliyoyafanya
Back
Top Bottom