Marekani yasisitiza kuiadhibu Korea Kaskazini Muda wowote kabla ya 2018

Kuna siku hapa ndani wengi wataukana upande wa Pyongyang........kwenye kumbukumbu zangu hakuna siku hata moja hawa jamaa marekani wamekurupuka kwenye vita...muda woote wanajivuta lakini wakiamka wameamka
Mkuu lekebisha hizo kumbukumbu zako,marekani amekurupuka mara nyingi tu ki vita na kushindwa,refer vietnam war and cuban crisis
 
.Marekani ana mikwara hatari,sasa mbona anambana tena Mchina ilhali Mchina hayupo vitani,anatafuta huruma ya vikwazo vya China dhidi ya Korea kaskazini hasa vya kutompelekea mafuta,kama anajiamini ya nini? atafute huruma ya Mchina,tatizo la Marekani bila kuungwa mkono na kupata vibaraka wake wa Nchi za Magharibi huwa haendi vitani;naona vibaraka wake wamemnawa sasa anahangaika asijue la kufanya,nao walijifunza vita vya Iraq na Libya kwa makosa waliyoyafanya(Nchi za magharibi kupitia Nato)
 
Watageuza tena maneno; watapiga mayowe anaonewa! Team Kiduku ni wa ajabu kidogo. Mkuu wewe unaielewa vizuri Amerika; namwona Secretary of Defense na timu yake wakipiga kazi 18 hours a day to explore "different options" kabla ya kuzifikisha mezani pa Commander-in-Chief kwa ajili ya maamuzi ya mwisho. Sasa wanywa viroba humu wasiojua hata mkuki unashikwaje kelele tupu; wanadhani vita ni sawa na mdundiko.

Jambo lisilo na shaka ndani yake ni kwamba Kim anaenda kufanyiwa kitu mbaya no matter what; ni suala la muda tu; kwamba Kim atapigwa sio suala la mjadala.
Mbwembwe tu. Sa si wampige? au bado wanaomba mizimu yao iwaruhusu?
 
Watageuza tena maneno; watapiga mayowe anaonewa! Team Kiduku ni wa ajabu kidogo. Mkuu wewe unaielewa vizuri Amerika; namwona Secretary of Defense na timu yake wakipiga kazi 18 hours a day to explore "different options" kabla ya kuzifikisha mezani pa Commander-in-Chief kwa ajili ya maamuzi ya mwisho. Sasa wanywa viroba humu wasiojua hata mkuki unashikwaje kelele tupu; wanadhani vita ni sawa na mdundiko.

Jambo lisilo na shaka ndani yake ni kwamba Kim anaenda kufanyiwa kitu mbaya no matter what; ni suala la muda tu; kwamba Kim atapigwa sio suala la mjadala.
Sas kaka hiyo ni lamuli yako tuu teena nazani itakua ni lamuli chonganishiii
 
hio vita ikipigwa ndo itakuwa vita ya 3 ya dunia na ikimalizika dunia itayumba kiuchumi na hapo ndo lengo la kuwa na dini moja, chama kimoja, siku moja ya kuabudu na utawala mmoja utatangazwa na hapo ndo shetani ataanza kutawala
Acha habali za kufikilika kakaaa
 
Marekani hupima kina cha maji kwanza kabla ya kujitosa! Tangu enzi za bush walishapima maji ya korea kaskazini wakaona ni maji marefu yasiyoogeleka! saa hii inawabembeleza china na urusi waunge mkono kuwatenga korea ya kusini lakini wamewatolea nje! Baada ya kuithibitishia dunia pasipo shaka kuwa korea ya kaskazini ina uwezo wa kutuma kitu kikatua popote pale duniani, wamehaha na wameshaanza kufufua alarm za kushtua watu dhidi ya shambulizi la nyuklia.
Marekani kajaribu mikwala na vitisho vyote vimegonga mwamba. Mara tu baada ya ziara ya Trump huko Asia iliyojaa vitisho na mikwara ya midege lukuki ya kivita ndo jamaa akarusha missile ya masafa marefu ambapo mpaka sasa Trump hajairopokea huko twitter kama alivyokuwa anafanya hapo mwanzo. Ulimi wake umeshafugwa tayari, chezea kuduku wewe!
Kaka upo sawa kabisa jeshi la kim linawatu wasiokua na akili za kawaida yaan za kibinadamu so hawamwez kim
 
US wanajifurahisha tu. Wanajaribu kumtisha NK huku wakijua kabisa kuwa huwa hatishiki na wala huwa hapangiwi.
 
USA waliambiwa warushe risasi Moja tu ndani ya N Korea, wanaogopa, wamebaki Na mipasho tu utadhani kina Hadija Kopa
Nakumbuka haya majamaa yalikuja kumbamiza Osama tukiwa tumeshamsahau kabisa kama wanamtafuta..

Ogopa sana mtu unamtishia yeye katulia hakuoneshi hata kisu, wewe unamuonesha silaha zako zote yeye anakwambia acha ugomvi tu..

Haya majitu hayakurupuki, hayabadiliki!
 
Nakumbuka haya majamaa yalikuja kumbamiza Osama tukiwa tumeshamsahau kabisa kama wanamtafuta..

Ogopa sana mtu unamtishia yeye katulia hakuoneshi hata kisu, wewe unamuonesha silaha zako zote yeye anakwambia acha ugomvi tu..

Haya majitu hayakurupuki, hayabadiliki!
Korea kasikazini ni socialist state na socialist state huwa supreme leader ndio ticket of almost everything. So USA should think twice before attacking North Korea. USA ina enemies wengi ambao ni very dangerous & waiting for the right time to revenge against this warmonger. Anyway personally I just pray they find a common ground for win win situation. But not like wat happened to libya under Gaddafi. Nk is a free state and not under any kind of foreign powers like USA.
 
Kuna siku hapa ndani wengi wataukana upande wa Pyongyang........kwenye kumbukumbu zangu hakuna siku hata moja hawa jamaa marekani wamekurupuka kwenye vita...muda woote wanajivuta lakini wakiamka wameamka
Pyongyang siyo Baghdad mkuu hao ni watu hatari kumbuka vita vya Cambodia Marekani alitoka mbio hawa marekani wanakera sana kujifanya mapolisi wa dunia kama ana uwezo si aende tu kwa nn anahitaji msaada wa China?
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Shikamoo Kim, mataifa yote ya ulaya kimyaaa hakuna cha Israel wala nani wote wameufyata kwa Kim. Ingekua ni huku kwetu Africa mataifa ya wazungu yangetukoromea sana.
 
Ili north kolea ishinde lazime wafanye shambulizi la kustukiza ,then waizunguke marekan yote kwa kutumia nyambizi zao kila pande,then ndege za kivita zishambulie base zote za marekani zilizopo maeneo mengine dunian ,hili lifanyike within 3 minitus,wakichelewa tu imekula kwao,viva north kolea ,viva Pyongyang
 
Back
Top Bottom