Yan sina hamu mwaka jana walituhamasisha kulima alizeti saana, ila saiv wameondoa kodi kwa waagizaji wa mafuta nje bei imeporomoka.........mkulima wa alizeti yeyote tanzania saiv ni kufukuzana na hasara tu
Bora wangesema wataondoa kodi za matajir wanaoagiza mafuta, ili tusingejichosha kulima...
Ninauza alizeti zipo mkoa wa mbeya mjini na Rukwa bondeni. Mawasiliano ni 0769902875
Karibuni sana, bei ni maelewano.
Nb: Alizeti ni ya mwaka huu imetoka shambani.
Habarini wadau ninauza mbegu za alizeti safi kabisa, zina mafuta mengi. Zipo Mbeya Mjini na bonde la Rukwa.
MAWASILIANO ni 0769902875, Bei ni nzuri na bei ni maelewano
Nb: Mbegu ni mpya za mwaka huu zimetoka shambani
Iko hivi watu wanashindwa kuelewa kuna mtu alipata 95 written ila hakupata kazi, inawezekana kabisa na wengine wanahisi amehujumiwa kumbe alifanya vibaya oral interview
Mkiwa shortlisted watu 100 mnapoingia oral interview mnaanza na moja means marks za written hazitumiki tena, sasa watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.