DStv nao wamepandisha vifurushi

DStv nao wamepandisha vifurushi

Ni muda sahihi wa kuachana na DStv nilikua nawalia timing tu.
 
Hao hata wakipandisha naina sawa tu.
Kwanza sidhani kama kuna mtu bado anaangalia dstv nyumbani labda kama ni kwa ajili ya business tu.

Mi nilinunua mwaka 2018 baadae nikaachana nao wamebakia kunipigiapigia simu na sms kunirubuni na maofa ya kunilaghai ili niweze kuweka kifurushi lakini hata mpangi sina.
Nilichoamua ni kufunga azam na star times kwa ungo wao huohuo halafu decoda la kwao nimengoa na kulitupia stoo ya chakula cha mifugo
 
Ni mabadiliko kidogo tu jamani, msilalamike sana😊
IMG_20210816_193336.jpg
 
Hao hata wakipandisha naina sawa tu.
Kwanza sidhani kama kuna mtu bado anaangalia dstv nyumbani labda kama ni kwa ajili ya business tu.

Mi nilinunua mwaka 2018 baadae nikaachana nao wamebakia kunipigiapigia simu na sms kunirubuni na maofa ya kunilaghai ili niweze kuweka kifurushi lakini hata mpangi sina.
Nilichoamua ni kufunga azam na star times kwa ungo wao huohuo halafu decoda la kwao nimengoa na kulitupia stoo ya chakula cha mifugo
Bado tupo wengi mkuu na tutaendelea kuangalia DStv maisha yakipanda na akili inabidi ipande
 
Kero kuu ya Dstv Ni kurudia vipindi Yan sio muvi au kule kwenye documentary kote wanarudia kunasiku nimekaa na madogo wanachek katun yan wanaelezea kitakachotokea Sasa nikasema nn maana ya kulipia hii kitu tena ghali.

Mwenye mbadala wa DStv aje sema usije na stori za Azam au startimes
 
Kero kuu ya Dstv Ni kurudia vipindi Yan sio muvi au kule kwenye documentary kote wanarudia kunasiku nimekaa na madogo wanachek katun yan wanaelezea kitakachotokea Sasa nikasema nn maana ya kulipia hii kitu tena ghali.

Mwenye mbadala wa DStv aje sema usije na stori za Azam au startimes

Nilishawatumia meseji walete external niwawekee muvi kali latest naona wanasua sua sijui wana matatizo gani?🙄
 
Back
Top Bottom