Recent content by Jerusalem2006

  1. J

    JamiiForums Tanzania Ubalozi wa Ujerumani nchini Tanzania watembelea ofisi za JamiiAfrica jijini Dar

    Kwenye thread kama hizi huwezi kuziona k.enge kama Lucas, Tilalilah, Choice...😂
  2. J

    JamiiForums Tanzania Makatibu Wakuu wa CHADEMA tokea chama kianzishwe mwaka 1992 mpaka sasa; Unamkubali nani zaidi?

    Samahani mkuu, huyo Marehemu Sebastian Kinyondo kwenye picha ya avatar yako ni ndugu yako!?, nilikuwa namkubali sana nikiwa mdogo enzi hizo.
  3. J

    JamiiForums Tanzania Mambo yameanza huku nianze kukera watu karibu tunywe kuna warembo kama wote yani

    Kitendo cha kuhisi una uwezo kuliko yeyote aliye comment kwenye thread yako hadi umrushie Mpesa ndo ushamba na ulimbukeni wenyewe, wenye dollar za kutosha hawashindi jamii forums kutafuta attention. Aidha huna pesa kweli au limbukeni au vyote kwa pamoja.
  4. J

    JamiiForums Tanzania Mambo yameanza huku nianze kukera watu karibu tunywe kuna warembo kama wote yani

    Waweza kuwa nje kweli, ila una ushamba mwingi, wapo watakaokusifia, wapo watakao kuponda. Vyovyote vile haiondoi ukweli kwamba wewe ni limbukeni..
  5. J

    JamiiForums Tanzania Bakhresa ameshinda tuzo ya TRA ya mlipa kodi, basi MoDewji usitusumbue kuwa wewe ni namba 1 Afrika

    Mtu anayelipa kodi bila kusumbuliwa kwanza na TRA ni sawa na mtu mwenye moyo wa kutoa sadaka, havihusiani na kuwa namba moja Africa. Yawezekana kutolipa Kodi ndo kumemplelekea kuwa namba moja. Ukitumia logic utaelewa. Tatizo mnaleta ushabiki wa Simba na Yanga, Alikiba na Diamond kwenye kila kitu.
  6. J

    JamiiForums Tanzania Walokole wengi wana magonjwa ya afya ya akili?

    Kitendo cha kuwaza kununua ugomvi ndo kunawaweka kwenye kundi hilo, mtu yeyote mwenye kufikiri kawaida hutakiwi kugombana kwasababu ya dini/Imani yoyote. Mnayetofautiana kwenye lolote unamuacha aendelee na anavyoona ni sawa kwake. Nasisitiza mtu yeyote mwenye Imani kali bila kujali dini/dhehebu...
  7. J

    JamiiForums Tanzania Walokole wengi wana magonjwa ya afya ya akili?

    Mkuu nimesisitiza Imani yoyote. Ukiweka udini pembeni utanielewa.
  8. J

    JamiiForums Tanzania Walokole wengi wana magonjwa ya afya ya akili?

    Sio walokole tu, iwe mkristo au muislam au Imani yoyote, mtu yeyote akishika dini kupindukia uwezo wake wa kufikiri kawaida inapungua. Mambo mengi anaanza kuyatazama kiimani zaidi wakati mambo ya kawaida kwenye maisha ya mwanadamu.
  9. J

    JamiiForums Tanzania Shangilieni ushindi kwa Iran kwa maana maisha yanaenda kuwa rahisi sasa

    Cha kushangilia ni kwamba wamefikia makubaliano, wanaoumia kwenye vita ni raia wa kawaida hasa wanawake na watoto na vijana wasioweza kujipambania. Tatizo mnaleta ligi na ushabiki kama wa Simba na Yanga kwenye mambo yanayohusu uhai wa binadamu mwingine. Vita imepiganwa na USA, Iran na Israel...
  10. J

    JamiiForums Tanzania Magufuli alikufa kwa Corona hata kama maandiko ya awali yana match tulichosema Mwaka huo, tuache conspiracy

    Kama unamaanisha uliyosema basi kiwango chako cha uelewa(understanding capacity) kipo chini sana. Ni watu ambao hamfikiriagi nje ya box, mnaamini mlivyotangaziwa tu na serikali. Wahuni na majasusi duniani wanafanikiwa kwasababu % kubwa ya watu duniani wana akili kama zako. N,B: Samahani kama...
  11. J

    JamiiForums Tanzania Baada ya kupima HIV, japo matokeo ni mazuri lakini siamini

    Ukimwi, ARV's etc wanaohangaika navyo ni watu wa hali ya chini. ARV zipo Marekani. Ila hakuna wasomi na wenye uwezo wanajisumbua hizo story tena. Hiyo scam ilishtukiwa kitambo, in short ARV ndo tatizo lenyewe, ukizitumia baada ya siku 90 kuziacha ni tatizo, zinaondoa kinga ya asili mwili unaanza...
  12. J

    JamiiForums Tanzania Vîdeo: Msafara Wa Rais Samia Watikisa na kuiteka St Petersburg Urussi. Ulinzi wake Ni Balaa,Magari Yatembea Katika Mpangilio Ambao Haujawahi kuonekana

    Huwa ninamuita k.enge wa mama, aliyemleta duniani ni bora angepiga punyeto tu kuepusha kuwa na wanaume wenye dalili za ushoga. Huyu jamaa viwango vyake vya kujipendekeza ni vya juu sana.
  13. J

    JamiiForums Tanzania Zungu: Kuna Kundi la Utoro Bungeni, Waliokwenda Morocco bila Kibali wachukuliwe hatua

    Kuanzia yeye, wanaoudhuria wote pamoja na watoro wote walichaguliwa na nani kuwa wabunge!?,tuanzie hapo.
  14. J

    JamiiForums Tanzania Baba yako amestaafu upo home hauna ajira miaka 5, unasikia ametoa million 10 mchango wa ujenzi wa kanisa au msikiti

    Itategemea na akili za baba yako, kashauriwa vyema, sawa imeshatokea baba yake ana hizo akili za kiafrica, ana mamilioni benki lakini hawezi kumpa mwanae akafanye biashara, unataka ashauriwe nini?, aendelee kukaa nyumbani tu!?,. Na huyo mtoto naye anaweza kuwa tatizo,yawezekana baba yake...
Back
Top Bottom