Kitendo cha kuhisi una uwezo kuliko yeyote aliye comment kwenye thread yako hadi umrushie Mpesa ndo ushamba na ulimbukeni wenyewe, wenye dollar za kutosha hawashindi jamii forums kutafuta attention. Aidha huna pesa kweli au limbukeni au vyote kwa pamoja.
Mtu anayelipa kodi bila kusumbuliwa kwanza na TRA ni sawa na mtu mwenye moyo wa kutoa sadaka, havihusiani na kuwa namba moja Africa. Yawezekana kutolipa Kodi ndo kumemplelekea kuwa namba moja. Ukitumia logic utaelewa. Tatizo mnaleta ushabiki wa Simba na Yanga, Alikiba na Diamond kwenye kila kitu.
Kitendo cha kuwaza kununua ugomvi ndo kunawaweka kwenye kundi hilo, mtu yeyote mwenye kufikiri kawaida hutakiwi kugombana kwasababu ya dini/Imani yoyote. Mnayetofautiana kwenye lolote unamuacha aendelee na anavyoona ni sawa kwake. Nasisitiza mtu yeyote mwenye Imani kali bila kujali dini/dhehebu...
Sio walokole tu, iwe mkristo au muislam au Imani yoyote, mtu yeyote akishika dini kupindukia uwezo wake wa kufikiri kawaida inapungua. Mambo mengi anaanza kuyatazama kiimani zaidi wakati mambo ya kawaida kwenye maisha ya mwanadamu.
Cha kushangilia ni kwamba wamefikia makubaliano, wanaoumia kwenye vita ni raia wa kawaida hasa wanawake na watoto na vijana wasioweza kujipambania. Tatizo mnaleta ligi na ushabiki kama wa Simba na Yanga kwenye mambo yanayohusu uhai wa binadamu mwingine. Vita imepiganwa na USA, Iran na Israel...
Kama unamaanisha uliyosema basi kiwango chako cha uelewa(understanding capacity) kipo chini sana. Ni watu ambao hamfikiriagi nje ya box, mnaamini mlivyotangaziwa tu na serikali. Wahuni na majasusi duniani wanafanikiwa kwasababu % kubwa ya watu duniani wana akili kama zako.
N,B: Samahani kama...
Ukimwi, ARV's etc wanaohangaika navyo ni watu wa hali ya chini. ARV zipo Marekani. Ila hakuna wasomi na wenye uwezo wanajisumbua hizo story tena. Hiyo scam ilishtukiwa kitambo, in short ARV ndo tatizo lenyewe, ukizitumia baada ya siku 90 kuziacha ni tatizo, zinaondoa kinga ya asili mwili unaanza...
Huwa ninamuita k.enge wa mama, aliyemleta duniani ni bora angepiga punyeto tu kuepusha kuwa na wanaume wenye dalili za ushoga. Huyu jamaa viwango vyake vya kujipendekeza ni vya juu sana.
Itategemea na akili za baba yako, kashauriwa vyema, sawa imeshatokea baba yake ana hizo akili za kiafrica, ana mamilioni benki lakini hawezi kumpa mwanae akafanye biashara, unataka ashauriwe nini?, aendelee kukaa nyumbani tu!?,. Na huyo mtoto naye anaweza kuwa tatizo,yawezekana baba yake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.