Mkuu umechanganya mambo, majini yote yanafanya mambo ya kichawi lakini sio uchawi wote unahusisha majini, majini ni uchawi wa baharini au maeneo yaliyo karibu na bahari, au nchi kavu kwa kusudi maalum(kufugwa), ila majini asili yake ni baharini(sio ziwa Wala mito),halafu kuna uchawi wa nchi...