Recent content by Jerusalem2006

  1. J

    JamiiForums Tanzania Baba yako amestaafu upo home hauna ajira miaka 5, unasikia ametoa million 10 mchango wa ujenzi wa kanisa au msikiti

    Itategemea na akili za baba yako, kashauriwa vyema, sawa imeshatokea baba yake ana hizo akili za kiafrica, ana mamilioni benki lakini hawezi kumpa mwanae akafanye biashara, unataka ashauriwe nini?, aendelee kukaa nyumbani tu!?,. Na huyo mtoto naye anaweza kuwa tatizo,yawezekana baba yake...
  2. J

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Muswada wa Bunge la Marekani ni kuingilia mchakato wa Tume ya Uchunguzi wa Kijinai

    Kama hujui basi huna akili. Nyie ndo wapumbavu ambao huwa mnasubiri jambo fulani limetokea mnaona kwenye jamii lakini kuamini kwenu mpaka serikali itoe tamko. Huwa nachukia sana mijitu isiyojitegemea kiakili.
  3. J

    JamiiForums Tanzania Ni kweli kampuni za kubeti zinadhulumu wawekezaji?

    Nyote mnaongea vitu vya nadharia, watu wanashinda mpaka milioni 50 - 100 na wana account kibao na ela wanalipwa bila chenga, taja kampuni moja iliyowahi kugoma kumlipa mtu mkeka alioshinda kihalali kwasababu zozote zile!?,. Au toa mfano halisi wa mtu unayemjua, kama yupo hiyo story ingefika hadi...
  4. J

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke aliyechora tatoo ya Ruto nchini Kenya achomwa moto

    Gentleman umesahau kuchomekea neno pekee ulilolikariri la kiingereza la NONSENSE
  5. J

    JamiiForums Tanzania Baada ya kupima HIV, japo matokeo ni mazuri lakini siamini

    Mkuu anza kufanya research binafsi, itakuchukua muda lakini utapata majibu. Tafuta video moja YouTube inaitwa House of numbers, anzia hapo, jaribu ku google madaktari bingwa kwenye hiyo video, tafuta na source nyingine za taarifa pengine utapata mwanga. Bottom line, usikubali kuanza kumeza ARV's...
  6. J

    JamiiForums Tanzania Baada ya kupima HIV, japo matokeo ni mazuri lakini siamini

    Hizi story zimebakia nchi maskini tu, hiyo SCAM nzima kuhusu H.I.V, AIDS, AZT, ARV'S etc, na matangazo na promotion zake huwezi visikia tena ulimwengu wa kwanza nchi zilizoendelea. Kanuni ni moja tu huwezi kuwa na ukimwi mpaka unaingia kaburini vinginevyo ukajipendekeze kuupima. Usipopima...
  7. J

    JamiiForums Tanzania Wanne mbaroni kuhusiana na kesi ya James Temba

    Asante mkuu 🙏
  8. J

    JamiiForums Tanzania Wanne mbaroni kuhusiana na kesi ya James Temba

    Mkuu hii story inapatikana wapi!?, ilianza kunoga kama movie..
  9. J

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Jaji Chande: Tume imepokea ushahidi toka kwa Watu 63,603

    Huyu k.enge ana mimba ya Chande inamsumbua, alianza hata kabla ya ripoti kutoka, anaweza kuwa Lukas kwa kutumia ID nyingine maana upeo wa kufikiri upo chini sana kama wa Lukas. Hilo swali ulilomuuliza limemzidi uwezo utasababisha afute thread yake.
  10. J

    JamiiForums Tanzania Jana akiingia Bungeni akiwa sambamba na Didier Drogba alionekana anatembea kwa shida sana

    Ana matege miguuni, kadri anavyonenepa style ya kutembea inabadilika, ukimuangalia kwa chuki binafsi au kwa kutafuta tafsiri yako unayoitaka ijadiliwe, waweza kuona upo sahihi pia. Ila ni muondoko wa kawaida tu. Isipokuwa mleta mada furaha yake ni Makonda ajadiliwe negatively kwa kejeli. Ingawa...
  11. J

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Jaji Chande: Tume imepokea ushahidi toka kwa Watu 63,603

    Hiyo mimba yako uliyopewa na Chande bado haijatoka?,tangu ripoti itoke unahangaika sana, nina wasiwasi hii ID nyingine ya Lukasi MuoshaMbwa.
  12. J

    JamiiForums Tanzania KERO Serikali itufikirie Wahandisi wa Halmashauri tunalipwa mishahara midogo tofauti na kada nyingine

    Mimi nikiona kuna watu nawajua na sio ma engineer wametoboa maisha ndani ya miaka 4 hadi 6 kupitia kufungua kampuni za ujenzi na hawakuwa na mitaji mikubwa, halafu nikakuta kuna mtu tena ni engineer wa halmashauri ninayehisi ana nafasi kubwa kupata connection kibao za ujenzi serikalini, yupo...
  13. J

    JamiiForums Tanzania Happy birthday to me

  14. J

    JamiiForums Tanzania Happy birthday to me

    Ulimaanisha 43rd!?🤔
  15. J

    JamiiForums Tanzania Mwigulu Lameck Nchemba ukiwa waziri wa fedha tulikuonya kuhusu mfuko wa Road fund aya Sasa barabara 85% ni mashimo na TANROADS iko hoi

    Hivi wewe mpumbavu unalipwa shilingi ngapi kutetea watu ambao hata hawajui kama kuna k.enge kama wewe!?,kuna sehemu umewahi kukosoa lolote kuhusu serikali hii!?,kwako viongozi wa serikali hii hawajawahi kukosea chochote ni kama malaika!?, una akili za kawaida kweli!?,au za kuvukia barabara...
Back
Top Bottom