Recent content by Jerusalem2006

  1. J

    JamiiForums Tanzania Binafsi sioni faida ya kuwa humu.

    Mkuu mnajisumbua bure na hii k.enge inayotafuta attention na kuwapotezea muda. Nimemuita hivyo kwasababu nimehisi kuna nati zimelegea kichwani hasa baada ya member mmoja kuleta thread zake mbili za tarehe 2 September, ya kwanza kaaga watu humu kwa mbwembwe, na ya pili akarudi anadai alikuwa...
  2. J

    JamiiForums Tanzania Binafsi sioni faida ya kuwa humu.

    Mkuu mtu anayeandika Uzi "Binafsi sioni faida ya kuwa humu", halafu akasindikiza uzi kujibu watu bado ana matatizo. Anayemaanisha kweli haoni faida ya kuwa humu hasemi ana delete account na kufanya mambo mengine. Angalia wote wanaotofautiana mtazamo na wewe unavyo react, ndo maana nikakuita...
  3. J

    JamiiForums Tanzania Binafsi sioni faida ya kuwa humu.

    Kuna mods wako macho usiku huu kwa ajili ya kufuta comments za watu zisizowafurahisha tu. Ukitaka kui quote wameshapita nayo, hata hii haitadumu
  4. J

    JamiiForums Tanzania Binafsi sioni faida ya kuwa humu.

    Kichwa cha habari "Binafsi sioni faida ya kuwa humu", kwenye maelezo yako umeelezea sababu kibao, nadhani tatizo lako kubwa ni kupenda kupewa attention, unapokosa attention au mtu kutofautiana na wewe tayari shida. Watu kama wewe huwa mnaamini mpo sahihi. Umeandika Binafsi huoni sababu ya kuwa...
  5. J

    JamiiForums Tanzania Mwigulu aje hapa akanushe kuwa Lissu alipopigwa risasi Magufuli hakumwambia atangaze serikali haihusiki akakataa kufanya hivyo na Magufuli akamchukia!

    Si support serikali hii na uongozi wote uliopo ni batili, ila huwa sielewi mtu anayekuja na kusema eti kiongozi fulani aje akanushe habari fulani huwa mnawaza nini!?,atakanusha mangapi!?,ya wangapi!?,maana yanasemwa mengi. Tufanye wewe ni kiongozi, unaweza kuwa unatoka hewani kukanusha kila...
  6. J

    JamiiForums Tanzania Leo imetimia Miaka 9 tangu Tundu Lissu apigwe risasi 16

    Mkuu angalia kumbukumbu zako vizuri, nakumbuka tukio la Lissu ni September 17.
  7. J

    JamiiForums Tanzania Kuna tetesi za vita kati ya Rwanda na Burundi

    Tutumie link ya hizo tetesi ulizoziona mitandaoni ili na sisi tuanzie hapo. Wakati wa weekend mtu anaweza kujitwisha K-vant kubwa mbili akaanza kuona wanajeshi wa Rwanda wapo mpakani mwa Burundi akakimbilia JF kuleta tetesi zake zinazotokana na Kinywaji😂😂😂
  8. J

    JamiiForums Tanzania Kwa wajuao uchoyo,ulafi, na uovyo wa CCM, kuna haya ya kumlilia au kumuonea huruma Nchimbi?

    Kila mtu ana uhuru wa kutoa maoni kutokana na mtazamo wake. Ndio kukubali kutokukubaliana. Ni maoni yako, yaheshimiwe.
  9. J

    JamiiForums Tanzania Malisa akamatwa na Polisi, Namanga na kupelekwa kusikojulikana

    Kuna wakati unajiuliza hawa wanaharakati wetu wanawaza nini!?,hii wiki yote tunajiuliza mtu mkubwa kama Nchimbi yupo wapi!?,bado bwana mdogo kama Malissa GJ anarudisha pua yake kutoka USA!??,hili nalo alihitaji kushauriwa!???... Wakati mwingine huwa nahisi matatizo watu wengine wanayatafuta wenyewe
  10. J

    JamiiForums Tanzania Walichokifanya Madee na Babu Tale ni chukizo mbele ya Allah. Sijapendezwa nalo

    Mkuu unajisumbua tu. Huyu jamaa mada zake huwa ni za kichoko. Huwa sielewi mwanaume mzima anapata wapi muda wa ku screenshot comments mitandao mingine na kuleta watu wazijadili tena. Ni dalili ya kuwashwa na mambo yasiyokuhusu.
  11. J

    JamiiForums Tanzania Kwa Nguvu Na Ushawishi Alionao Rais Samia Kwa Sasa Ipo Siku Marekani Atakuja Kulalamika kuwa Tanzania Imeingilia Uchaguzi wao na Kupanga Matokeo .

    Hata unayemfanyia uchawa kuna wakati atakuwa anakuona k.enge kwa unavyojipendekeza. Nilikuwa najua kuna watu wana akili ndogo, lakini sio kwa kiwango hiki.
  12. J

    JamiiForums Tanzania Je, ni uchawi au saikolojia?

    Mkuu umechanganya mambo, majini yote yanafanya mambo ya kichawi lakini sio uchawi wote unahusisha majini, majini ni uchawi wa baharini au maeneo yaliyo karibu na bahari, au nchi kavu kwa kusudi maalum(kufugwa), ila majini asili yake ni baharini(sio ziwa Wala mito),halafu kuna uchawi wa nchi...
  13. J

    JamiiForums Tanzania Nipeni ushauri, nataka kufanya biashara ya daladala. Wazoefu naomba ushauri

    Hapana sio lazima, lakini usicheze mbali. Uwe mtu usiyetabirika, ukifanya biashara ya daladala uwe mtu wa machale hata saa 8 za usiku unashtuka. Kwa mfano nilikuwa na daladala linafanya route ya Mwenge - Tazara kabla daladala(hiace-dungu) hazijaondolewa mjini, ilikuwa mwisho saa 3 usiku, dereva...
  14. J

    JamiiForums Tanzania Nipeni ushauri, nataka kufanya biashara ya daladala. Wazoefu naomba ushauri

    Mkuu nilishamiliki daladala, simaanishi kila mtu atapitia njia niliyopitia. Kuna kitu inaitwa return on investment, umewekeza milioni 10/20/30/40 au zaidi zitarudi baada ya muda gani kwa hizo vurugu nilizizitaja hapo juu!?,. Utafiti niliofanya, waliofanikiwa hasa kwenye daladala hawakai na...
  15. J

    JamiiForums Tanzania Nipeni ushauri, nataka kufanya biashara ya daladala. Wazoefu naomba ushauri

    Biashara yoyote ya chombo cha moto kama hutegemei kuendesha wewe achana nayo. Kuanzia bodaboda, bajaji, toyo, coaster, Yutong, fuso, malori(truck) etc. Ndo maana zaidi ya 95%, wamiliki wanabadilika kila baada ya miaka michache, wanakuja wapya kama wewe, hizo % zilizobaki ndo wakongwe akina Abood...
Back
Top Bottom