Recent content by Jericho stiven

  1. Jericho stiven

    CEO wa Vodacom aliyeteuliwa toka Kenya anyimwa kibali na Serikali. Aambiwa wapo watanzania wa kufanya kazi hiyo

    Kila mmoja hamtaki mwezie nikenya na tanzania tu sio nchi nyingine na visasi vipo mbona wao wali reject madactari wetu mzee au unasahau
  2. Jericho stiven

    CEO wa Vodacom aliyeteuliwa toka Kenya anyimwa kibali na Serikali. Aambiwa wapo watanzania wa kufanya kazi hiyo

    Kunashare za watu na serikali jomba tanzania ajira chache why wanaleta wageni that's question
  3. Jericho stiven

    CEO wa Vodacom aliyeteuliwa toka Kenya anyimwa kibali na Serikali. Aambiwa wapo watanzania wa kufanya kazi hiyo

    Wafunge vodacom tanzania kama wamechoka hawa voda nchi haina ajira wame wekeza tanzania ilivijana wapate ajira wao wanaleta wafanya kazi toka kenya kuwa watanzania wote wana ajira safi jpm
  4. Jericho stiven

    Tushirikishane akili za wanawake ambao tunakuwa nao katika mahusiano ya kimapenzi

    Wanawake muonekano wao jinsi walivyo kiujumla wamekaa kitapelitapeli wanajipamba wanajiremba ujisort uingie mkenge ukiwa bwege ndio wanakuendesha kweli wakiona chenji tu dia nyingi zikikata kununa ugomvi kibao matapeli hawa for example kwa wanawaje wa karne hii wanawaza chenji tu hakuna napenzi...
  5. Jericho stiven

    Nafikiri Biblia na Qur'an ni project zilizofanywa na wanadamu - Prove me wrong!

    Ukitaka kuelewa inaitaji utulivu name roho wa mungu hapo utawlewa
  6. Jericho stiven

    Mwanaume wa Dar bila kuwa na sifa hizi hunipati ng`oo

    Ha ha haaaaa utakaa sana wwe
  7. Jericho stiven

    Rais Magufuli akutana na wachina ikulu kupanga mikakati ya viwanda, Tanzania kuanza kuunda simu zake

    yetu macho tu na uhai mungu atupe tuone Tanzania ya viwanda
Back
Top Bottom