Kiafrika tujichunguze sana, magari yetu ni ya thamani kubwa sana lakini waoshaji tunaowapelekea na ujira tunaotoa sio afiki kwa hiyo wewe mmiliki ni lazima uwe sadaka kwa bidhaa ndogo ndogo zitakazokutwa kwa gari yako, dhamana ya Mali zilizoko kwa gari nashauri Iwe ni jukumu LA mmiliki Wa gari...
United ya Ferguson Tunakushukuru kwa namna ya pekee kufungua Uzi huu Wa connection za kibiashara, Naomba connection ya kupata bello za chupi za kike, boxer, soksi, magauni, duvets, shuka, vitenge kutoka kwa wachina. Natanguliza shukrani,
Nakushauri haraka Sana tekeleza ushauri wa daktari, Mimi kijana wangu amefanyiwa operesheni pale Kairuki hospital Sasa Yuko vizuri, kumbuka Katika siku 1-7 chakula chake Ni ice cream baridi sana, juice baridi Sana, uji baridi na mtori baridi na baada ya 14 days Yuko vema.
Sent from my TECNO F1...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.