Recent content by Jerhy

  1. Jerhy

    JamiiForums Tanzania GARMIN GPS FOR SALE

    Simu hupokei sasa
  2. Jerhy

    JamiiForums Tanzania Ukiwa umeenda kuosha gari zingatia haya

    Kiafrika tujichunguze sana, magari yetu ni ya thamani kubwa sana lakini waoshaji tunaowapelekea na ujira tunaotoa sio afiki kwa hiyo wewe mmiliki ni lazima uwe sadaka kwa bidhaa ndogo ndogo zitakazokutwa kwa gari yako, dhamana ya Mali zilizoko kwa gari nashauri Iwe ni jukumu LA mmiliki Wa gari...
  3. Jerhy

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Nauza vifaa vya stationery tsh. 5M

    Anamaanisha hujaweka asking price for each item
  4. Jerhy

    JamiiForums Tanzania TV4Sale Nauza TV kwa bei za store

    Nataka freezer je yapo Yale yanakuwa Na portion mbili ndani
  5. Jerhy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni mara ya pili sasa nachapiwa

    Adhabu IPI inastahili kwa mwanamke msaliti kwenye ndoa, msaada tafadhali
  6. Jerhy

    JamiiForums Tanzania Ninauza solar panel watt 200 pamoja na betri

    Kapicha basi. Tuwekeamo image
  7. Jerhy

    JamiiForums Tanzania Ofa ya Connection ya Wachina wanaoshusha Mizigo ya jumla Kariakoo

    United ya Ferguson Tunakushukuru kwa namna ya pekee kufungua Uzi huu Wa connection za kibiashara, Naomba connection ya kupata bello za chupi za kike, boxer, soksi, magauni, duvets, shuka, vitenge kutoka kwa wachina. Natanguliza shukrani,
  8. Jerhy

    JamiiForums Tanzania Sisimizi wamejaa kitandani gafla na sijui wametokea wapi. Hii ni ishara ya nini?

    Mwaga Powder kwenye vishimo vyao inasaidia kiasi, kwa wakazi Wa Dar ishu ya sisimizi sio kituo kigeni kukwea kitandani. Wanakimbia joto ardhini
  9. Jerhy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Weka Mipaka Yako Katika Kila Uhusiano

    Ubarikiwe
  10. Jerhy

    JamiiForums Tanzania Nishati ya Upendo wengi wanaipigania kufa kupona

    Asante
  11. Jerhy

    JamiiForums Tanzania PVC windows gharama zake ni kubwa mno

    Sorry je kwa sasa bado mzigo upo tena? Ukipatikana mwingine naomba unitag, nahitaji sana
  12. Jerhy

    JamiiForums Tanzania Uzi maalumu wa kujua gharama za ujenzi wa majengo mbalimbali

    Ungweka mchoro wenye vipimo sasa, ili kupata makadrio sahihi
  13. Jerhy

    JamiiForums Tanzania Ugonjwa wa madonda koo (Tonsels)

    Nakushauri haraka Sana tekeleza ushauri wa daktari, Mimi kijana wangu amefanyiwa operesheni pale Kairuki hospital Sasa Yuko vizuri, kumbuka Katika siku 1-7 chakula chake Ni ice cream baridi sana, juice baridi Sana, uji baridi na mtori baridi na baada ya 14 days Yuko vema. Sent from my TECNO F1...
  14. Jerhy

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Nauza gari Toyota Vitz

    Hello, Safari unayo ndefu Sana, ungeyaeleza hayo, mapema basi. Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom