1. Kwanza awezeshe kuwa na uhuru wa Vyombo vya Habari.
2. Demokrasia ni jambo muhimu awape wapinzani uhuru wa kuikosoa serikali kwa kuwa hakuna aliyekamilika duniani kila mtu hutenda makosa na kukosolewa ndo njia pekee ya kujifunza ulipokosea na ukajirekebisha na mambo yakaendelea kama ilivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.