Wantanzania wenzangu tunajifunza nini kwenye tukio hili la kukamatwa kwa vijana 11 wakifanya mazoezi ya ugaidi katika msitu wa Makolionga huko mtwara, hivi tunakubali kuiachia nchi yetu itafunwe na watu wasioitakia mema nchi yetu.Polisi wanafanya kazi nzuri sana, wananchi tunapaswa kuwaunga...
Wanajamvi naomba kuwasilisha yafuatayo:- Kwani nakumbuka miaka ya 1990 kurudi nyuma kulikuwa na Daftari la kudumu la Makazi kwa kila Kijiji na Mitaa kwa nchi ya Tanzania. Utaratibu huu ulisaidia sana kuwatambua wageni wote waliokua wakifika sehemu hizo kwa kujiorodhesha majina yao kwa balozi wa...
acha ushabiki wa kisiasa wewe unaongea kama mjinga wa mitaani hapa ni kwa maslahi ya wananchi sasa wewe kama mtu uliepewa dhamana kuitetea tanzania kwa upande wa vijana ndo unatetea nini hapo? inasikitisha sasa kama mpaka sasa hujielewi. sisi kila tutumiapo simu tunatozo la kodi kwa makampuni ya...
sidhani kama taarifa hizi zinaukweli wowote ndani yake kwani hazijathibitiswa popote na wala jeshi la polisi halijaongelea chochote labda kama uliambiwa ukiwa chumbani kwako.
naombeni source ya hii mada nithibitishe kama kweli hizi ni taarifa za kweli au ni propaganda. tukio kama hili ni sensitive sana tunahitaji taarifa za kuaminika na sio tetesi.
mkutano huu ni muhimu sana kwa mustakabali wa taifa letu, hivyo ntawachukia sana wajinga wachache watakaosababisha vurugu na hatimae kuvunjika kwa mkutano huu. tufike mahili tutambue kuwa maslahi ya taifa hili sio ya chama peke yake bali ni ya taifa kwa ujumla. tukasikilize mkutano kwa amani na...
Nadhani wewe ncio tatizo kwa kuwa hujui hata sheria za maandamano na mikutano ya hadhara inawahusu polisi, na kwa uelewa wako mdogo ndio mnaoharibu watu na kuvuruga mikutano yenye hoja za maana. polisi wanahaki ya kusimamia na kudhibiti maandamano kama kuna viashiria vya uvunjifu wa amani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.