Global Publisher wasifanye uandishi dhaifu je baba yake Erick akikaa uchi wanaweza kumpiga picha? Tumeona habari nyingi za uingiliaji wa faragha za watu na wananganganizwa kupigwa picha huu ni unyama. Pesa mnazokula ni haramu kwa kuingilia faragha za watu. Kuna jambo gani geni kwenye ngono...
Hawa ni walevi na Malaya wakubwa sana wanafanya kazi isiyokuwa yao tena wanatishia silaha za moto walizonazo nani kawapa kazi hii wahuni Hawa. Wameshindwa kuzuia uhalifu wa panya road wananyanganya vijipesa vya boda boda. Wengine nimewakuta jana huko vichochoro vya chuo kikuu mlimani...
Mamlaka pekee inayotoa vyeti vya ndoa ni serikali kwa mujibu wa sheria ya ndoya ya mwaka 1971. Bakwata kwa mujibu wa sheria hii ni baraza la usuluhishi la kidini inapotokea mgogoro wa ndoa. Vyeti vya bakwata havina nguvu yoyote kisheria ni utambulisho wa kidini kama vilivyo vyeti vya ubatizo kwa...
Ni kweli kabisa vijana wengi sasa especially kwenye makanisa yetu wengi wanaoana wakiwa na mimba. Kinachonishangaza kanisa pia limeamua kuchukulia poa sijui imani hii inakwenda wapi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.