donbeny
JF-Expert Member
- Aug 19, 2013
- 3,612
- 3,242
Sio busara kuwa na roho nyeusi kiasi iko!!kama hujawahi kupoteza ndugu,rafiki,mzazi au mpenzi kwa ajali ya bodaboda nakuelewa,lakini sio busara bado bora ungejisemea kimoyomoyo!!
Kweli nimekosea,ila ni wasumbufu sana barabarani ukimgusa na gari wanataka kuchoma moto na kukuua wakati mara nyingi makosa ni ya madereva wa boda boda ,,,,ulevi unachangia kuwapa kiburi