Recent content by Jenerali kiduta

  1. Jenerali kiduta

    Ajira mpya Dubai changamkia fursa.

    ha ha ha ha itaisha kama nini???
  2. Jenerali kiduta

    Ushauri jamani

    Achana na akili za kusema market .. Ila pia kwa ushauri wangu soma geomatics ukihitaji ushauri zaidi ya hapa nitafte sasa
  3. Jenerali kiduta

    Tigo huu ni wizi au tuwaiteje?

    Ni uongo huu maana Tigo au voda wapo active sana kuzuia hela na hyo hela washaizuia muda tu ni ujanja ujanja wanautumia kukuchelewesha nishawahi kukosea HVO wakasema wakala kashaitoa niwe napiga kuwaulza siku akiweka nikaona ni uswahil mana wao wanamfaham vzr wakala alipo na lesen zake wanazo...
  4. Jenerali kiduta

    Je umechaguliwa Ardhi university na unahitaji chumba?

    Nitafute nikupe chumba kikubwa karibu kabisa na chuo dk 2 unafika chuoni bei nzuri maji yapo geti na umeme wahi haraka 0768007733
  5. Jenerali kiduta

    Aliyekuwa akiliponda jeshi la polisi anaulizia nafasi za kazi polisi.

    Tatzo sio yeye tatizo ni mfumo wa elimu umemjenga kuwa tegemezi na muoga
  6. Jenerali kiduta

    Nimekuwa admitted vyuo vinne niende wapi?

    Ha ha ha ha ha ha ha you made my day
  7. Jenerali kiduta

    Umechaguliwa Ardhi University na huna pa kuishi?

    Nitafute nikupe Chumba kikubwa karibu kabisa na chuo dk 2 unafka chuoni bei nzuri maji yapo geti na umeme wahi haraka 0768007733
  8. Jenerali kiduta

    Ndugu zangu tuliochaguliwa Marian University naomba tukutane hapa tuyajenge

    mi pia mdogo wangu yupo hapo ila sikifahamu kilipo
  9. Jenerali kiduta

    Bussiness information techonology vs purchasing and supply management

    Punguza presha wew nenda kasome unaanza stress asubuhi hvyo (REFI)
Back
Top Bottom