Ni uongo huu maana Tigo au voda wapo active sana kuzuia hela na hyo hela washaizuia muda tu ni ujanja ujanja wanautumia kukuchelewesha nishawahi kukosea HVO wakasema wakala kashaitoa niwe napiga kuwaulza siku akiweka nikaona ni uswahil mana wao wanamfaham vzr wakala alipo na lesen zake wanazo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.