Aliyekuwa akiliponda jeshi la polisi anaulizia nafasi za kazi polisi.

encyclopaedia Tanzaree

JF-Expert Member
Sep 10, 2017
513
397
Habari wanajamvi!

Kuna rafiki yangu fulani pindi tunasoma A-level kule Mwanza, hakuna kazi aliyokuwa akiipondea kama ya upolisi.

Sasa kinachonishangaza jana amenipigia simu kuniulizia kama nina fununu zozote kuhusu intake za polisi kama zimetoka au kama nina fununu zozote.

Hoja ya kujadili hapa ni je, vijana Wakitanzania tunaelekea wapi?
Kama mtu anapigania kupata kazi ambayo haipendi kabisa atatoa huduma sahihi kwa wananchi?

Nini mustakabali wa Taifa letu kama kunakuwa na wimbi la watu wanaofanya kazi ambazo hawazipendi?

NOTE:
LOGICAL REASONING AND ARGUMENTS WILL HIGHLY BE APPRECIATED.

KARIBUNI!
 
Habari wanajamvi!
Kuna rafiki yangu fulani pindi tunasoma A-level kule Mwanza, hakuna kazi aliyokuwa akiipondea kama ya upolisi.
Sasa kinachonishangaza jana amenipigia simu kuniulizia kama nina fununu zozote kuhusu intake za polisi kama zimetoka au kama nina fununu zozote.
Hoja ya kujadili hapa ni je, vijana Wakitanzania tunaelekea wapi?
Kama mtu anapigania kupata kazi ambayo haipendi kabisa atatoa huduma sahihi kwa wananchi?
Nini mustakabali wa Taifa letu kama kunakuwa na wimbi la watu wanaofanya kazi ambazo hawazipendi?

NOTE:
LOGICAL REASONONG AND ARGUMENTS WILL HIGHLY BE APPRECIATED.

KARIBUNI!
Hana namna maisha yamekaba ukikabwa unakuwa sadaka.
 
Njaa tu imemkumba.
Mie nina amini kwa dhati kabisa kutoka moyoni kwangu,kama umesoma vizuri na ukaelewa ulichosoma,huwezi hata siku moja kufikiria kuwa polisi au kuomba kazi ya ipolisi labda serikali ikutafute ikupeleke kama walivyopelekwa akina Mwema.
 
Njaa tu imemkumba.
Mie nina amini kwa dhati kabisa kutoka moyoni kwangu,kama umesoma vizuri na ukaelewa ulichosoma,huwezi hata siku moja kufikiria kuwa polisi au kuomba kazi ya ipolisi labda serikali ikutafute ikupeleke kama walivyopelekwa akina Mwema.
Kuna watu wanaajiriwa kwa lazima?
 
Njaa tu imemkumba.
Mie nina amini kwa dhati kabisa kutoka moyoni kwangu,kama umesoma vizuri na ukaelewa ulichosoma,huwezi hata siku moja kufikiria kuwa polisi au kuomba kazi ya ipolisi labda serikali ikutafute ikupeleke kama walivyopelekwa akina Mwema.
Hawana namna vijana!! Ajira hakuna, na nafasi zikotoka ushindani ni mkubwa sana eg TRA majuzi tu!!!
Kwa hiyo upolisi ukikubali na hivi wasomi waingia na ka cheo!! lazima wataenda tu siyo hiyari yao. Ni sawa ndoa ya kulazimishwa mapenzi hufuata baadaye baada ya kujuana tabia
 
Angalia Sizonje hakuupenda uraisi hakujiandaa kabahatisha tu angalia sasa mwelekeo wa nchi unapoelekea. Kavuruga na kuharibu kila kitu kama Bata anavyoharisha.

MTU wa ajabu sana
Wewe si umetumbuliwa au kuna ndugu zako waliokua na vyeti fake,au familua yako inaishi hapa tz kwa ufisadi sasa kwa mtu km wewe tutegemee utampenda huyo sizonje km unavyosema
 
Habari wanajamvi!

Kuna rafiki yangu fulani pindi tunasoma A-level kule Mwanza, hakuna kazi aliyokuwa akiipondea kama ya upolisi.

Sasa kinachonishangaza jana amenipigia simu kuniulizia kama nina fununu zozote kuhusu intake za polisi kama zimetoka au kama nina fununu zozote.

Hoja ya kujadili hapa ni je, vijana Wakitanzania tunaelekea wapi?
Kama mtu anapigania kupata kazi ambayo haipendi kabisa atatoa huduma sahihi kwa wananchi?

Nini mustakabali wa Taifa letu kama kunakuwa na wimbi la watu wanaofanya kazi ambazo hawazipendi?

NOTE:
LOGICAL REASONING AND ARGUMENTS WILL HIGHLY BE APPRECIATED.

KARIBUNI!
Kwani mtu haruhusiwi kubadili mawazo?

Kwani mtu haruhusiwi kuiponda kazi halafu kutaka kuibadilisha?
 
Njaa tu imemkumba.
Mie nina amini kwa dhati kabisa kutoka moyoni kwangu,kama umesoma vizuri na ukaelewa ulichosoma,huwezi hata siku moja kufikiria kuwa polisi au kuomba kazi ya ipolisi labda serikali ikutafute ikupeleke kama walivyopelekwa akina Mwema.
Kila mtu anaiyali ya kuchagua kazi aipendayo,si lazima wote wawe mabenker clack au wanasiasa,mbona mm kazi ya uchungaji sihiwezi lakini siwezi kumponda mchungaji,acheni hila hizo.
 
Huku kwenye ualimu hali ndio mbaya zaidi kuna walimu ambao kimsingi sio walimu. Sasa changanya nakuchakachuliwa haki zao hapo kazi IPO.
 
Maisha yakibana unakimbilia kokote kule kutapo kuponya hata kama kitu hicho hukipendi
 
Chaguo kuu limeshindikana, hamna namna ameamua kutafuta alternatives na sio vibaya mkuu
 
Kila mtu anaiyali ya kuchagua kazi aipendayo,si lazima wote wawe mabenker clack au wanasiasa,mbona mm kazi ya uchungaji sihiwezi lakini siwezi kumponda mchungaji,acheni hila hizo.
Kazi ambayo inapobidi unatakiwa umtie pingu mama yako mzazi unasema ni kazi?
Upolisi ni kazi ya watu wenye mioyo maalum,sio kila mtu anaweza kuichagua kisa eti anaipenda
Unatakiwa uwe na moyo wa kipolisi,kama huna utafeli tu
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom