Recent content by jemsic

  1. jemsic

    JamiiForums Tanzania SoC03 Familia: Jiko la mapishi ya Uwajibikaji na Utawala Bora katika jamii

    Pasina misingi imara kwenye familia uwajibikaji na utawala bora vitabaki ndoto za mchana
  2. jemsic

    JamiiForums Tanzania SoC03 Chozi la mkulima na mfugaji ni laana kwa vizazi vijavyo

    Ni kweli kabisa migogoro ya wakulilima na wafugaji inafifisha ufanisi na uzalishaji wenye tija katika sekta kilimo.
  3. jemsic

    JamiiForums Tanzania SoC03 Vyama vya upinzani vitakuza uwajibikaji wa chama tawala

    Asante sana
  4. jemsic

    JamiiForums Tanzania SoC03 Vyama vya upinzani vitakuza uwajibikaji wa chama tawala

    Asante sana
  5. jemsic

    JamiiForums Tanzania SoC03 Vyama vya upinzani vitakuza uwajibikaji wa chama tawala

    Asante sana🙏🙏
  6. jemsic

    JamiiForums Tanzania SoC03 Vyama vya upinzani vitakuza uwajibikaji wa chama tawala

    Ni kweli kbs ile mikutano ya hoja kutoka kwa wapinzani ndio hufanya hata chama tawala kufanya hima katika kuhakikisha ahadi zoa pamoja na ilani wanaitimiza kama inavyopaswa
  7. jemsic

    JamiiForums Tanzania SoC03 Vyama vya upinzani vitakuza uwajibikaji wa chama tawala

    Asante numbisa🙏
  8. jemsic

    JamiiForums Tanzania SoC03 Mwanamke akiwajibika, jamii nzima inawajibika

    Ni kweli kabisa na ndio maana wanasisitiza kumuelimisha mwanamke kwa ukimuelimisha ni kwa faida ya jamii nzima vivyo hivyo kwenye uwajibikaji
  9. jemsic

    JamiiForums Tanzania SoC03 Kuzingatia kariba za watu kwenye usaili na uteuzi kutachochea uwajibikaji

    UTANGULIZI Imetokea mara nyingi tumesikia Rais akiteua au kuchangua watu mbalimbali kushika nyadhifa serikalini au pengine watu kuitwa kwenye usaili wa kazi ili kuchambua na kupata wafanyakazi bora. Pamoja na ujuzi na uzoefu wa watu, ili kuteua au kupata wafanyakazi wenye weredi na ufanisi...
  10. jemsic

    JamiiForums Tanzania SoC03 Umefika wakati wa kujikwamua kutoka kwenye misaada isiyoheshima

    Picha: Swahilitimes UTANGULIZI Mara nyingi sana mataifa maskini yamekopa kwa mataifa yenye uwezo lakini hatukuwahi kuona nchi tegemezi zikijikwamua katika hali zake duni za kiuchumi kupitia misaada zinayopewa kwani misaada mara zote hudumaza. Tukitathmini kwa makini tutagundua hata katika nchi...
  11. jemsic

    JamiiForums Tanzania SoC03 Kulinda na kuendeleza umoja wa kitaifa wakati wa mageuzi ya kisiasa na kiuchumi ili kukuza utawala bora

    Asante sana Anitha natumai mabadiliko yatafanyika
  12. jemsic

    JamiiForums Tanzania SoC03 Kulinda na kuendeleza umoja wa kitaifa wakati wa mageuzi ya kisiasa na kiuchumi ili kukuza utawala bora

    UTANGULIZI Umoja wa kitaifa ni hali ya mshikamano kati ya watu wa taifa. Ni hisia ya kuhusishwa na utambulisho wa pamoja ambao huwaunganisha watu na kuwaleta pamoja, bila kujali tofauti zao za kikabila, kidinii, kiitikadi na kiasili. Umoja wa kitaifa ni muhimu kwa taifa lenye nguvu na ustawi an...
  13. jemsic

    JamiiForums Tanzania SoC03 Tukiondoa urasimu katika utoaji wa huduma za umma tutapata utawala bora

    DIBAJI Tanzania ni nchi yenye historia kubwa na ya muda mrefu ya urasimu ambao umeanza toka kipindi cha ukoloni. Ukiangalia urasimu huu ulipandikizwa na wakoloni ili iwe rahisi kuitawala na kuendesha nchi na kuchukua wanavyovitaka kwa kipindi hicho. Urasimu umedumu toka kipindi hicho na...
  14. jemsic

    JamiiForums Tanzania SoC03 Vyama vya upinzani vitakuza uwajibikaji wa chama tawala

    Picha na Ebony FM UTANGULIZI Nafasi ya upinzani katika kukuza uwajibikaji wa chama tawala ni tata na limedumu kuwa swala mtambuka. Vyama vya upinzani vinaweza kuchukua jukumu hili muhimu katika kuwajibika kwa serikali ya chama kilichopo madarakani kwa namna mbali mbali ikiwa ni pamoja na kutoa...
Back
Top Bottom