Recent content by Jemedari Hodari

  1. J

    Bongo Star Search ni janga la kitaifa

    Leo umenifurahisha mkuu
  2. J

    TANESCO imekata umeme maeneo mengi ya nchi: Kuna nini?

    Mm sipo Dar Ila nilipo ni hapa hapa Tanzania na umeme upo. Usipotoshe jamii ati kwavile uswazi kwenu wamekata umeme bas ndo Tanzania nzima wamekata.
  3. J

    Dhoruba kali yaipiga Meli ya MV Serengeti katika Ziwa Victoria, yafanikiwa kutia nanga salama

    Imani za kishirikina haziwezi kukusaidia kitu kwenye maisha yako zaidi ya kukuharibia maisha yako.
  4. J

    TANESCO imekata umeme maeneo mengi ya nchi: Kuna nini?

    Una uhakika umeme umekatwa nchi nzima? acha kutokwa maneno ovyo ovyo ww
  5. J

    Maandamano (nyomi) ya kutisha yaliyowahi kutokea

    Papa alikuja mwaka 1990 na si 1992
  6. J

    Ni mkoa gani unaoongoza kwa kuwa na matajiri wengi Tanzania?

    Huyo jamaa Sio kabisa. Zenji anadai ni mkoa na pumba nyingine anadai vogue inatumik kama tax ya kawaida kwa matajiri Wa Zenj. Je unemuelwwa utumbo alioandika pale? nahisi ni punguani huyo.
  7. J

    Ni mkoa gani unaoongoza kwa kuwa na matajiri wengi Tanzania?

    We Kenge sana kua na Vogue ndo ubilionea?
  8. J

    Baada ya madudu ya ajira za uhamiaji sasa imekuja kwenye scholarship za oil na gesi

    Usitegemee kuajiriwa. Usifwate mkumbo. Jiajiri au tafuta fulsa ya kujitengenezea kipato cha kutosha ili utoe ajira kwa watu.
Back
Top Bottom