Wananchi wa kijiji cha Hurui, kata ya Kikore wilaya ya Kondoa mkoani Dodoma, wamelalamikia kitendo cha askari polisi wilayani humo, kuwakamata na kuwapiga wakiwa uchi wa mnyama usiku wa manane kwa amri ya mkuu wa wilaya hiyo, Dkt. Hamis Mkanachi, kwa madai kwamba wanashiriki kuchochea mgogoro wa...
Mahakama ya rufaa kanda ya Dar es salaam chini ya majaji watatu leo imetupa shauri la rufaa namba 407/2021 lililofunguliwa na Mfanyabiashara Maarufu, Askofu, wa Kanisa la KKAM, Philemon Mollel akipinga hukumu iliyompa ushindi William Titus Mollel katika mgogoro wa kugombea eneo lililopo Ngulelo...
Mfanyabiashara maarufu wa Magari Jijini Dar es Salaam, Samweli Shami maarufu Bilionea Shami, amedai kutishiwa maisha na watu aliodai ni vigogo wa polisi jijini humo na kulazimika kuyakimbia makazi yake kutoka dar akitumia usafiri wa pikipiki na kukimbilia jijini Arusha.
Akiongea na vyombo vya...
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Takukuru Mkoa wa Arusha imemkamata mfanyabiashara maarufu anayemiliki vituo vya mafuta jiji la Arusha, Maganga Baha lago akituhumiwa kujifanya afisa Misitu na kuomba rushwa ya shilingi 100,000.
Kamanda wa Takukuru Mkoa, Zawadi Ngajilo amethibitisha...
VIGOGO Wandamizi watano wa Jeshi la Polisi Mkoani Arusha wanatuhumiwa kuchukua rushwa ya shilingi milioni 10 na kuachia madawa ya kulevya aina ya Mirungi kilo zaidi ya 1200 yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 60 katika tukio lililotokea desemba 5 mwaka huu eneo la Burka kata ya Elerai...
Siku moja baada ya taarifa za mkaguzi msaidizi wa polisi kituo cha USA River Mkoani Arusha, Demetrida Sweethbert Thadeo kuanikwa kupitia mtandao wa Jamii Forums akidaiwa kukodi majambazi ili kumuua mumewe, hatimaye jeshi hilo limemkamata na yupo mahabusu imefahamika.
Taarifa za uhakika zimedai...
Mkaguzi Msaidizi wa Jeshi la Polisi kituo cha Usa River, Demetrida Sweethbert Thadeo Mkazi wa Momela, wilayani Arumeru Mkoani Arusha, anahojiwa na polisi katika kituo hicho akituhumiwa kukodi majambazi waliomjeruhi kwa mapanga mumewe Daud Thomasi Ayo kutokana na ugomvi wa kifamilia.
Kwa mujibu...
Na Joseph Ngilisho Arusha
WAZIRI mkuu,Kassimu Majaliwa,amewataka Wataalamu wa mipango Nchini kuhakikisha wanatekeleza majukumu waliyopewa Kwa kuwa wao ni kiungo muhimu katika maendeleo ya nchi.
Majaliwa ameyasema hayo kwenye hotuba yake ilitosomwa na Naibu wake,dkt Doto Biteko,wakati wa...
Chama cha Wafanyabiashara wenye viwanda na Kilimo TCCIA, Mkoa wa Arusha kwa kushirikiana na Shirika la TRIAS Tanzania wametoa mafunzo kwa wafanyabiashara wa nyama katika jiji la Arusha ikiwa ni mpango wa kukuza mnyororo wa thamani katika sekta ya Nyama.
Akiongea katika warsha ya siku moja...
Mkazi wa kijiji cha Misigiyo wilayani Ngorongoro Mkoa wa Arusha, Veronica Makutiani(29) amenusurika kuuawa kikatili kwa kipigo cha baba yake mzazi pamoja na kaka yake ambaye ni katibu wa Mbunge Ngorongoro , wakimlazimisha kurejea kwa mume wake katili aliyekuwa akimtesa kwa kipigo na kumlaza njaa...
Wakazi zaidi ya 500 katika kata ya Moshono na Mlangarini Mkoani Arusha wametishia kuandamana kushinikiza serikali kuwalipa malipo yao zaidi ya bilioni 1, mara baada ya Jeshi la wananchi Tanzania JWTZ kuchukua maeneo yao kwa mabaliano ya kuwalipwa fidia ,lakini hadi sasa ni zaidi ya miezi 10...
Akina dada wanaofanya biashara ya kujiuza katika eneo la kaloleni jijini Arusha katika bar maarufu za Shivaz na Picnic wamevamia kanisa la nabii Geordavie lililopo Kisongo na kumtaka awapatie mitaji ili waachane na biashara ya ukahaba.
Chama cha wafanyabiashara wenye viwanda na kilimo TCCIA,kimetoa mafunzo ya uhusishwaji wa kibiashara kwa wafanyabiashara wadogo(Machinga),Vijana, akinamama wa sokoni na watu wenye ulemavu.
Akifungua mafunzo hayo Mstahiki Meya wa jiji la Arusha Maxmilliane Iranghe, amesema jiji la Arusha litatoa...
Kesi ya madai ya sh,milioni 123 inayoikabili kampuni ya Mabasi ya Kilimanjaro Track co.ltd dhidi ya Msanii wa kizaźi kipya,Nuni Suleiman(35) Mkazi wa Dar es salaam, imeunguruma katika mahakama ya wilaya Arusha.
Shahidi wa kwanza katika shauri hilo la Madai namba 36 la mwaka 2022,
Nuni...
Sakata la uvamizi haramu wa Mgodi wa Kitalu C wa Madini ya Tanzanite uliopo Mirerani wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, unaomilikiwa na serikali namwekezaji mzawa kampuni ya madini ya Franone sasa imekuwa shamba la bibi baada ya wafanyabiashara wengine watatu wakubwa kuingia katika mgodi huo na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.