Recent content by jembe jambo

  1. J

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo moshi v nije buswelu mwanza au ilemera kwa ujumla idara secondary 0768797718
  2. J

    Lissu: Mfalme mmoja amethibisha kuwa yeye hakuchaguliwa bali amefikia ufalme huo kwa bao la mkono

    Daa ndgu acha kuonesha udhaifu hivi watu hawakufurahii
  3. J

    Mshituko: Siku hizi ukiongelea biashara ya Madawa ya kulevya unaandamwa sana na Upinzani!

    Nimesoma hiyo post NA wachangiaje wake nikajiswalika he madawa yameanza Leo? Je hadi uandamwe NA upinzani je upinzan ndo madawa? Nikajikuta navumbua jambo.tunashindwa kutofautisha madawa NA utajir wa MTU pamoja NA siasa.kama ingekuwa ni swala la madawa hayo yalikuwepo.lakini unaonaje akili ndogo...
  4. J

    Nampenda lakini ana watoto watatu ushauri wenu please

    Owaaaaa mjomba.Mimi wangu alikuwa NA watat kila moja NA baba take lakin tunaish nami kaniongezea watat nunafamulia ya watoto sita tunapiga kaz NA mama huku sala mbele kama tai.mungu anasaidia watoto watano wanasoma tena siyo kayumba.malengoj braza.tena huyo alinyanganywa ? Oa kaka huyo ndo...
  5. J

    Watanzania ni watu wa ajabu sana!, Wanamwaminije Gwajima kuliko Rais wao?

    Iman ya kimungu na ukwel vinauhusiano.unaweza usiamini mtumishi Huyu ukamwamini yule.hakuna akulazimishaye.Counsellor Tz haina udini.NA MFA maji hakosi kutapatapa.leo msikitin kesho church imebaki movie ya waganga NAyo nahis I njiani wakat chet tuu kinatakiwa kukata mzz wa fitina.mbona ni rahis...
  6. J

    Wizi kwenye magroup ya whatsapp

    Wafanyeje ndivyo inch ilivyo.ukilala unalaliwa
Back
Top Bottom