Nimesoma hiyo post NA wachangiaje wake nikajiswalika he madawa yameanza Leo? Je hadi uandamwe NA upinzani je upinzan ndo madawa? Nikajikuta navumbua jambo.tunashindwa kutofautisha madawa NA utajir wa MTU pamoja NA siasa.kama ingekuwa ni swala la madawa hayo yalikuwepo.lakini unaonaje akili ndogo...
Owaaaaa mjomba.Mimi wangu alikuwa NA watat kila moja NA baba take lakin tunaish nami kaniongezea watat nunafamulia ya watoto sita tunapiga kaz NA mama huku sala mbele kama tai.mungu anasaidia watoto watano wanasoma tena siyo kayumba.malengoj braza.tena huyo alinyanganywa ? Oa kaka huyo ndo...
Iman ya kimungu na ukwel vinauhusiano.unaweza usiamini mtumishi Huyu ukamwamini yule.hakuna akulazimishaye.Counsellor Tz haina udini.NA MFA maji hakosi kutapatapa.leo msikitin kesho church imebaki movie ya waganga NAyo nahis I njiani wakat chet tuu kinatakiwa kukata mzz wa fitina.mbona ni rahis...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.