kumekuwa na vitabia vya watumishi wanaoishi/fanya kazi makao makuu ya wizara kuomba hata kulazimisha kuletewa vizawadi kutoka kwa wafanyakazi wa mikoani hasa pale wanapokuja kushughulikia mambo yao ya kikazi wizarani.
Utasikia mbona unakuja bila michele, maharagwe, samaki na kadhalika. Tabia...
Nimekuwa nikisikia uwezo wa tunda la tikiti maji katika kuhimalisha afya ya mwanadamu, lakini hivi majuzi jamaaa yangu kanieleza uwezo wake wa kuimarisha ndoa katika kutoa nguvu za kiume.
Mwenye habari yoyote kuhusu hilo kama ni kweli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.