kwa mazur tutamkumbuka na udhaifu wa kupotezea epa na upotevu wa mali za uma, ubinafshaji viwanda na kuuza ardhi karne 1 pia na hayo tunamrahum kuwa ametuuza.
ki2 kidogo cha kumaliza mara wataka hadi dam itoke ndowajue kuwa kuna wa2 wanaomba ki2, hii siyo kwamba watu hajasoma ila uelewa na kufikir jambo nikidogo. Maana wale wanafunga barabara kwa cku 1 na zile road haziko buss kwann wagombane?? Wenze2 wanamaamuz ya haraka.
pole sana mtetez wa wanyonge, msema kweli sikuzote hubezwa maana kufanyia biashar kwa siku moja kunaathir nn na uzingatia mashine 3road not buss road like main roads. Hawatendi haki kwa machinga na wa2 wengine.
watanzania tunaelekea wp? Tanzania ni aman ndio maana uhur we2 tupata bila kumwaga damu. Inakueje bomu leo hii? Ujanja ujanja wa wa2 fulan ambao hataki aman ya nchi ye2 tunaomba walaniwe kwa mawazo hayo mabaya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.