Kabisa, yaani wanaichukulia poa sana kazi yao. Hasa hasa Kitenge, unaona kabisa ni kama mtu aliyekurupuka tu akaenda kazini. A professional journalist, anatakiwa kufanya research ya kile anacho report. Yeye ndio anatakiwa kuwa reliable source of information kwa wasikilizaji
Habari Wadau,
Mimi ni mfatiliaji mkubwa sana wa Sports Arena. Ninaamini ni kipindi kuzuri sana cha michezo na kina wachambuzi wazuri sana kama kina George Ambangile, Edo Kumwembe. Tatizo liko kwenye watangazaji wao wakiongozwa na Maulid Kitenge na Yusuf Mkule:
1. Kuwa Biased
Wako biased sana...
Hapo Huawei wamekuwa exluded kwenye Core Network which is common practice kwa nchi za magharibi...kuna chance wakashirikishwa kwenye upande wa Access Network (Base stations, IDU, ODU) na hata transmission network (DWDM, Microwave, Backhaul & Front haul etc) ambapo ndipo kwenye mpunga mwingi...
Mshana Jr ,hiyo dini ndio freemason? It would be interesting kama ungetupatia uzi unaolezea connections/differences kati ya freemasonry, Buddhist na hiyo dini ya shetani?
...pili, ulizimia kwa takribani muda gani, na je baada ya kuzinduka kuna vitu gani vingine viliendelea?... Tatu, did they keep contacting you tena baada ya ile siku ya ibada?... Nne, je uli escape vp kwenye huo mtego wa kuwa agent wao?
Mkuu Mshana Jr , ndio nimemaliza kusoma huu uzi mwanzo mwisho...huu uzi ni hatari, ni kama game of thrones fulani.. Nina maswali mengi if you dont mind...ningeomba kama unaweza ungeongezea nyama nyama pale kwenye kanisa la shetani....kwa uelewa wako, ni kweli kwamba kwenye hizo secret society...
Hili suala la kuwepo mafuta Znz nimejaribu kutafuta details lakini kiukweli mpaka sasa sijaona info zozote za kusupport kama kuna mafuta Zanzibar, hata kama yapo sidhani kama yanatosha kuchimbwa kibiashara...nadhani ni mchezo mchafu wa wanaofanya wanasiasa kueneza tetesi kwa ajili ya manufaa yao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.