Recent content by jekisaro

  1. J

    Nisaidieni ushauri, je nimrudie huyu mwanamke na je nitamridhisha kweli

    Kama unampenda kweli komaa naye, Wanawake wa kidigital ndo walivyo kwa sasa.
  2. J

    Mwakilishi wa Kundi la wanavyuo kaongea point

    Hiyo ndo pointi? Acha kutuwangia, Me kama mmojawao niliyewakilishwa na huyo binti nataka nitambue alichoenda kukiwasilisha bungeni,na siyo kufanya vi2 kimyakimya.
  3. J

    Sijawahi kufanya mapenzi nisaidieni jinsi ya kufanya

    Tehtehtehteh...! Inachekesha, na inafurahisha cha msingi nenda CHUO CHA MAPENZI,
  4. J

    Matokeo kidato cha nne 2013/2014

    Hivi ni kweli kuna Div.5? Naomba mnijuze jaman
  5. J

    Jordan University boom ka pili kuna nini???!!!

    Kumbe we naye mwendawazimu, Una uhaki hivyo vyuo jirani(SUA & MUM) wameshapata boom la pili?
  6. J

    Inaumaa we acha tu

    Huko ni kukengeuka,
  7. J

    CCM Kuanguka Kwa CHADEMA is not our Party Interest we should Help Them!!

    Uko sawa kabisa,hao waliojiudhuru ni watu na wala sio chama kilichojiudhuru.
  8. J

    Said Arfi - Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA ajiuzulu rasmi!

    Imekukuna? Ukweli mtupu,
  9. J

    Said Arfi - Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA ajiuzulu rasmi!

    Acha unafiki kujiudhuru kwa viongozi wa CDM icwe upenyo wa kusemea, Toa mafanikio ya chama chako ambacho ambacho kiko ikuru,
  10. J

    Siipendi fani ninayosoma...... Ni kwa sababu ya umasikini wangu.....!

    Huu sio muda wa kulaumu kwani sehemu hiyo ndiyo inayokufaa, Usidanganyike we kilichobaki ni kupambana.
Back
Top Bottom