Wapo wadau walisema hapa kwenye thread fulani kwamba wachawi wa aina fulani wanapokufa roho zao zinakuwa ngumu kutoka na wanaanza hadi kujiozea wenyewe kabla hawajakata roho.
Ila siamini kuwa kila anaeoza basi lazima atakuwa ni mchawi sugu!
YESU alisema mtu anaruhusiwa kumuacha mkewe kwa sababu moja tu na si nyingine,Uzinzi. Ila watu wanajitia watakatifu kuliko muumba wao hata wakihakikisha kuwa wanasalitiana bado wanaforce kuwa kuna ndoa bado.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.