Recent content by jean phillipe beyun

  1. jean phillipe beyun

    Maalim Seif kukataa kumtambua msajili ni kupingana na sheria.

    Ni ubakaji mkubwa wa democracy, hii ni broader plan ku contain opposition come 2020 Sent using Jamii Forums mobile app
  2. jean phillipe beyun

    Nikifika mwisho lazima haja kubwa itoke

    Habari, nawasalimu, Barua yangu ni fupi tu kwenu, Nimekua rafiki yenu hapa kwa Muda sasa, na nimeandika hapa mara kadhaa kwa mambo mbali mbali, hata hivyo tatizo hili sijawahi kulisema kwa aibu, sasa nimeona kama vile linaendelea nimeona niliseme ili nipate msaada. Ni kwamba, nikiwa na...
  3. jean phillipe beyun

    Hataki denda na mimi sababu ya pombe

    Tulipofahamiana kwa mara ya kwanza sikua nimetahiriwa , akanipa sharti kuwa kama sitatahiriwa yy hawezi kuendelea na mimi, nikaamua kuvunja mila yetu nikatahiriwa, nilisumbuka sana na kidonda hadi Muda nilioomba likizo kazini ukaisha bado sijapona, baadae nikapona na kugegeda nimeanza Ingawa...
  4. jean phillipe beyun

    Kakataa kuolewa na mimi sababu sijatahiriwa

    Sawa nimekupata, hata hivyo kama hakupenda mbona mara zote nne alionekana kufurahia zoezi ikiwemo kukata mauno na kufurahia starehe hiyo kwa kiwango cha juu?
  5. jean phillipe beyun

    Kakataa kuolewa na mimi sababu sijatahiriwa

    Ni mila sio mm, naweza kupata madhara makubwa nikitahiriwa
  6. jean phillipe beyun

    Kakataa kuolewa na mimi sababu sijatahiriwa

    I see Nilikua na uhusiano na dada mmoja kutoka Mexico, aliletwa ofisini kwetu kikazi, alikua akipenda sana nyeti zangu hivi zilivyo, alikua akitumia karibu nusu saa nzima akila nyeti zangu, alipenda sana kula nyeti zangu sababu ya Hali hii niliyonayo, sasa sijui kwa nn mabinti wa kitanzania...
  7. jean phillipe beyun

    Kakataa kuolewa na mimi sababu sijatahiriwa

    Ulitaka kuolewa na wa miaka 20?
  8. jean phillipe beyun

    Kakataa kuolewa na mimi sababu sijatahiriwa

    Hivi sio nyinyi mnaodai kila siku kuwa tusiige au kuendekeza mila za watu weupe? Hii mila ya kutahiriwa imekuja na meli kupitia vitabu vya dini, haikuwepo kabla
  9. jean phillipe beyun

    Kakataa kuolewa na mimi sababu sijatahiriwa

    Mama, kutahiriwa ni mila ya kigeni imeletwa na vitabu vya dini, sio mila yetu waafrika, hata Jacob Zuma hajatahiriwa kutunza mila yetu waafrika, tusipende mila za watu weupe kuliko zetu
  10. jean phillipe beyun

    Kakataa kuolewa na mimi sababu sijatahiriwa

    Waheshimiwa nawasalimu, Nimekua chini ya shinikizo kutoka kwa wazee wangu kwamba nioe niweze kuwa na familia yangu maana kwa sasa nipo kwenye early 40's Bahati mbaya sana mchakato wa kupata binti kwa ajili ya kufunga nae ndoa umekua mgumu kutokana na wanawake wengi sasa kushindikana kitabia...
  11. jean phillipe beyun

    A South African man sets fire on himself to death after his wife delivers Chinese twins

    Wanawake wako wapi kwenye huu uzi? Tunaposemaga wanawake sasa hivi wamekua wanyama na wauaji wakubwa watu hawatuelewi, pia tunaposema uzinzi wa mwanaume hauna madhara kama uzinzi wa mwanamke, maana mwanaume ndie mwamuzi ndani ya guest, ndie anaeamua condom ivaliwe au la!! Hivyo madhara ya...
  12. jean phillipe beyun

    US Commander Campbell: The man behind the failed coup in Turkey

    Umesoma ukaelewa maudhui mapana ya nilichokiandika? Au umeamua kunilisha maneno? Siku nyingine utashindwa mtihani kwa kushindwa kusoma maelezo
  13. jean phillipe beyun

    US Commander Campbell: The man behind the failed coup in Turkey

    Hii habari itakua imetoka sputniknews.com hicho ndicho chombo ambacho 24/7 kinarusha habari za propaganda kuhusu marekani, Sina upande kwa kweli lakini nimejifunza kitu Nikitazama cnn, BBC, aljazeera utaona wanahangaika na habari mbali mbali za kimataifa ikiwemo uchaguzi wa marekani lakini...
  14. jean phillipe beyun

    Ina maana EFM radio walitudanganya kuhusu zile picha za utupu?

    Kwa msingi huo ina maana huyo mwenye kupeleka hard copy kama zawadi i mean ex wa bibi harusi anaweza siku moja akaamua kuzirusha mitandaoni maana bado ana copy nyingine, maana inaonekana alizi print kutoka kwenye simu, meaning bado anazo
  15. jean phillipe beyun

    Ina maana EFM radio walitudanganya kuhusu zile picha za utupu?

    Mm bado nina mashaka sana, yule bibi harusi wa EFM, kwa maelezo yake mwenyewe alidai, picha zimemfedhehesha, maana zimefika kwa wazazi wake, ndugu mbali mbali, na wakwe zake, akawa anauliza ataiweka wapi sura yake, Ina maana picha zizunguke ukoo mzima halaf zisifike mitandaoni? Maana hapa...
Back
Top Bottom