Unapanic kama mwanamke.
Kwani serikali ya CCM inavyowapangia wamiliki binafsi wa vyombo vya habari nini cha kuripoti mliwasaidia kuanzisha vyombo vyao?!
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo Ayo na wafanyakazi wake huwa wanatumiwa na CCM kwenye zile biashara zao za kununua madiwani wa Chadema, ndio maana sishangai mbuzi wa Lumumba wakimpa sapoti.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo jamaa Nanji anatoa rushwa wazi namna hiyo ina maana vyombo vya usalama ikiwemo Takukuru hawajamuona?
Halafu wamezoea kuwakamata watoa rushwa ya laki moja na kuwatangaza waonekane kila mahali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna wale waliokuwa wanaripoti migogoro ya wakulima na wafugaji wakapigwa marufuku, sasa watu wa media wanaogopa kuripoti habari za maafa kama hizo kisa jamaa hazipendi, yeye anapenda chini ya utawala wake pasiwe na janga lolote, sijui anadhani yeye mungu!
Hata hii Corona ingekuwa ni ya...
Huko tuendako nguvu ya wapiga kura inaenda kupoteza maana, kinachoonekana kinafaa sasa ni nguvu ya mwenyekiti wa CCM aliye na dola, tume ya uchaguzi, na vyote upande wake, pamoja na kodi za wapiga kura kununulia wapinzani.
Ndio maana kina Mbatia na wenzake wameliona hilo, kuliko kuhangaishana...
Might be western propaganda, but also looking at it in perspective, there might be worse still to come, cause we are not serious in dealing with this as it suppose to be.
We are all pretending to be safe only because of our immunity, and that God love us.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo jamaa anaishi kwenye ile kauli "uongo ukirudiwa mara nyingi hugeuka ukweli"
Hajui wanaodanganywa ni wajinga tu, na wajinga hawawezi kuwa wote!.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii tabia ya kukamata watu wakati upelelezi bado haujakamilika inatakiwa ikomeshwe, huu ni uonevu, wengi wanakamatwa kwa hisia ndio maana wanaishia kukaa mahabusu mpaka "wakiri makosa".
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwenyewe nimeshangaa mbona huu uzi wa zamani umepandishwa huku, kumbe kaleta habari ya muendelezo wa mtu yule yule halafu akachanganya na visababu vyake vitatu anajidanganya kaleta uzi mpya, ooh Chadema Arusha kuna matatizo makubwa, mbona kila siku wanaimba huu wimbo!, hao watu wote...
Aisee, naona tunakoelekea ndio kugumu zaidi ya tunavyofikiria; unataka wapinzani na watanzania kwa ujumla wao wajishushe ili kumpendeza Mh. Rais kwasababu bila yeye hiyo Tume Huru haiwezi kupatikana?
Sasa kama mtu aliwahi kusema Tume Huru haikuwahi kuwa moja ya ajenda zake (sio za chama)...
Inasemekana gari iliyomkanyaga ni basi la Kisbo tena kwa matairi ya nyuma, sasa wewe na hayo mabasi mengine mawili yaliyompitia juu sijui taarifa yako umeitoa wapi, una maanisha hayo mabasi yalikuwa yamekaribiana kiasi hicho mpaka madereva wa mabasi ya nyuma wasimuone marehemu?!
Ngumu kumeza...
Umekurupuka tu kama msukule.
Hao wote uliowataja wanateuliwa na m/kiti wa CCM, kwanini iwe hivyo? na kwa kuwa hivyo unategemea hao watu watatimiza majukumu yao ipasavyo?!
Ukimaliza kujibu hayo maswali ndio ujione ulivyo kibogoyo wa akili.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.