Recent content by jd41

  1. jd41

    Godbless Lema amuonya Millard Ayo kwa kuonesha unyama wa Polisi wa Kenya na kuficha unyama wa Polisi wa Tanzania

    Unapanic kama mwanamke. Kwani serikali ya CCM inavyowapangia wamiliki binafsi wa vyombo vya habari nini cha kuripoti mliwasaidia kuanzisha vyombo vyao?! Sent using Jamii Forums mobile app
  2. jd41

    Godbless Lema amuonya Millard Ayo kwa kuonesha unyama wa Polisi wa Kenya na kuficha unyama wa Polisi wa Tanzania

    Huyo Ayo na wafanyakazi wake huwa wanatumiwa na CCM kwenye zile biashara zao za kununua madiwani wa Chadema, ndio maana sishangai mbuzi wa Lumumba wakimpa sapoti. Sent using Jamii Forums mobile app
  3. jd41

    Uchaguzi 2020 Bunda Mjini kumekucha viongozi wa CCM Wilaya waanza kushikana uchawi kwa sababu ya rushwa za Mwanza huduma

    Huyo jamaa Nanji anatoa rushwa wazi namna hiyo ina maana vyombo vya usalama ikiwemo Takukuru hawajamuona? Halafu wamezoea kuwakamata watoa rushwa ya laki moja na kuwatangaza waonekane kila mahali. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. jd41

    Hali ya Mafuriko Rufiji ni tete, Vyombo vya Habari Maalum vinaogopa kutoa taarifa

    Kuna wale waliokuwa wanaripoti migogoro ya wakulima na wafugaji wakapigwa marufuku, sasa watu wa media wanaogopa kuripoti habari za maafa kama hizo kisa jamaa hazipendi, yeye anapenda chini ya utawala wake pasiwe na janga lolote, sijui anadhani yeye mungu! Hata hii Corona ingekuwa ni ya...
  5. jd41

    Mbatia's Endorsement ni Busu la kifo!!

    Huko tuendako nguvu ya wapiga kura inaenda kupoteza maana, kinachoonekana kinafaa sasa ni nguvu ya mwenyekiti wa CCM aliye na dola, tume ya uchaguzi, na vyote upande wake, pamoja na kodi za wapiga kura kununulia wapinzani. Ndio maana kina Mbatia na wenzake wameliona hilo, kuliko kuhangaishana...
  6. jd41

    Africa Is Two to Three Weeks Away From Height of Virus Storm!

    Might be western propaganda, but also looking at it in perspective, there might be worse still to come, cause we are not serious in dealing with this as it suppose to be. We are all pretending to be safe only because of our immunity, and that God love us. Sent using Jamii Forums mobile app
  7. jd41

    Mbunge wa Moshi Vijijini, Anthony Komu (CHADEMA) kuhamia NCCR-Mageuzi

    Kaamua kumuachia jimbo Owenya; eti nitagombea popote isipokuwa Moshi Vijijini! Sent using Jamii Forums mobile app
  8. jd41

    Diwani Isaya Doita aliyemtuhumu Godbless Lema afukuzwa Uanachama

    Huyo jamaa anaishi kwenye ile kauli "uongo ukirudiwa mara nyingi hugeuka ukweli" Hajui wanaodanganywa ni wajinga tu, na wajinga hawawezi kuwa wote!. Sent using Jamii Forums mobile app
  9. jd41

    Vigogo Sita wa Halotel Kizimbani kwa utakatishaji na kuisababishia TCRA hasara ya Sh. Bilioni 78

    Hii tabia ya kukamata watu wakati upelelezi bado haujakamilika inatakiwa ikomeshwe, huu ni uonevu, wengi wanakamatwa kwa hisia ndio maana wanaishia kukaa mahabusu mpaka "wakiri makosa". Sent using Jamii Forums mobile app
  10. jd41

    Diwani Isaya Doita aliyemtuhumu Godbless Lema afukuzwa Uanachama

    Mwenyewe nimeshangaa mbona huu uzi wa zamani umepandishwa huku, kumbe kaleta habari ya muendelezo wa mtu yule yule halafu akachanganya na visababu vyake vitatu anajidanganya kaleta uzi mpya, ooh Chadema Arusha kuna matatizo makubwa, mbona kila siku wanaimba huu wimbo!, hao watu wote...
  11. jd41

    Mjadala mpana kuhusu 'madai' ya tume huru ya uchaguzi

    Aisee, naona tunakoelekea ndio kugumu zaidi ya tunavyofikiria; unataka wapinzani na watanzania kwa ujumla wao wajishushe ili kumpendeza Mh. Rais kwasababu bila yeye hiyo Tume Huru haiwezi kupatikana? Sasa kama mtu aliwahi kusema Tume Huru haikuwahi kuwa moja ya ajenda zake (sio za chama)...
  12. jd41

    Prof. Lipumba atoa maelezo ya CAG kuhusu CUF chama cha wananchi

    Eti "mwanachama muaminifu" kweli mwanasiasa haishiwi maneno!. Sent using Jamii Forums mobile app
  13. jd41

    Hotel za kitalii katika mbuga zafungwa hadi mwezi June, wafanyakazi watakiwa kurudi makwao

    Ile hoja ya Zitto inazidi kupata nguvu "stimulus package". Sent using Jamii Forums mobile app
  14. jd41

    Shinyanga: Ajenti wa Basi la Kisibo akanyagwa na Basi hilo na kufariki hapo hapo wakati akirukia kwenye Basi hilo

    Inasemekana gari iliyomkanyaga ni basi la Kisbo tena kwa matairi ya nyuma, sasa wewe na hayo mabasi mengine mawili yaliyompitia juu sijui taarifa yako umeitoa wapi, una maanisha hayo mabasi yalikuwa yamekaribiana kiasi hicho mpaka madereva wa mabasi ya nyuma wasimuone marehemu?! Ngumu kumeza...
  15. jd41

    Mjadala mpana kuhusu 'madai' ya tume huru ya uchaguzi

    Umekurupuka tu kama msukule. Hao wote uliowataja wanateuliwa na m/kiti wa CCM, kwanini iwe hivyo? na kwa kuwa hivyo unategemea hao watu watatimiza majukumu yao ipasavyo?! Ukimaliza kujibu hayo maswali ndio ujione ulivyo kibogoyo wa akili. Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom