Refer to Jamii forum references number 7795 n 7855 there is no power as usual. It's only 16 hours ago I have reported this thanks it was fixed in the midnight but it is not a long last solution a few minutes ago power went off again and we don't know how long it will take. Why don't you guys fix...
Eneo: Sakina kwa Iddi
Wilaya: Arumeru
Simu: 0621 28 21 03
Tatizo: Kukatika umeme mara kwa mara (rejea ref7795 posted on 20th May) ninavyo ongea hatuna umeme sasa kwanini hamtatui hili tatizo? Nitapost daily utakapo katika labda hii itakuwa kama kumbukumbu ni mara ngapi tunakuwa na adha hii
Tafadhali onyesha
Eneo - Sakina kwa Iddi
Wilaya - Arumeru
Simu - 0621 282103
Tatizo - Kukatika kwa umeme mara kwa mara hata jana tumelala giza. Nitatizo gani hili lisilo isha kwa miaka hamjui kitu manachofanya au haiwezekani for 17 years tatizo ni hilo hilo.
Habari Tanesco! Mimi nakaa Sakina Kwa Idd tumekuwa na tatizo la umeme kwa miaka zaidi ya miaka 17. Tatizo ni hilo hilo kila wakati transformer ya kama unaenda shule ya Trust ukipitia njia hii ya Kilimanjaro School ninavyo andika hivi hakuna umeme sasa najiuliza hakuna mafundi kwanini hakuna...
Mimi umeme unatumika sana na sina electric water heater wala jiko la umeme. Lakini kwa mwezi natumia 60,000 (taa, tv, fridge na deep freezer) nifanyaje matumizi yapungue?
Mshana Jr nakubaliana na wewe kuwa kuna manabii wengi waongo na hii inasababishwa na waumini kutaka shortcuts, bibilia inasema utaijua kweli na kweli itakuweka huru sasa huo uvivu wa kuijua kweli ndo unatuponza na kukimbilia kwa manabii kuombewa, kutabiriwa na kulipia maji,mafuta ingawaje...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.