1.Katiba ya wanachi ni msingi wa kuliongoza taifa kuelekea kwenye maendeleo, ccm walizusha propaganda kuwa katiba pendekezi inataka kuuvunja muungano, ili kuwalaghai ninyi watu wa usalama ili mfikiri katiba pendekezi ni hatari kwa Taifa.Ukweli ni kwamba hoja ilikuwa sio muungano, ila vipengele...