Kwa yaliyokwisha kutokea sisi waoga a.k.a watz halisi tunaogopa hata kuchangia uzi huu.
Hivi kwa idadi ya tv stations zilizopo na radio ni kwa nini moja isiseme ...."sasa tunajiunga na reporter wetu aliyepo Milan tumsikie mhusika moja kwa moja ili kuondoa uvumi...."
Kwani bado yuko Milan?