Nkundwe Sr
JF-Expert Member
- Nov 30, 2014
- 6,107
- 9,214
Na mtapigwa tu!!
Jk aelewe tanzania ya sasa sio ya miaka ya zamaini......hii ni inch yetu sote....hii inch sio inch ya familia ya Jk.
litatoka tu.
Na mtapigwa tu!!
Naaam tunasubiri mita 200
UKAWA Mmeambiwa
baada ya kupiga kura
muende nyumbani
hamuelewi sasa nasema na
mpigwe tu maana hakuna
namna tena
Wakuu tupige kura hapa, kuonesha kuwa, kura tutazilinda kwa kufuata sheria.
Hatutaogopa washawasha, wala risasi za moto, damu itakayomwagika itaendelea kuwalilia wamwagaji maana mtaimwaga pasipo haki, hamtawamaliza Watanzania, Wataendelea kuwepo.
Hii ni nchi yetu sote.
Bonyeza like kulaani na kupinga kauli za JK kukataza watu kulinda kura.
Kwanza niseme hatuko tayari kuvunja sheria zilizowekwa japo wakubwa hawa jk NEC na police wamedhamiria kuzivunja sisi vijana tunasema tupo tayari kwa lolote ili mradi sheria za uchaguzi zinafuatwa na si vinginevyo./
Lengo kuu la kukaa mita 200
Ni kulinda mtu yoyote atakaeingia kituoni akiwa na makaratasi ya kura hatutamruhusu kuingia kwa namna yoyote ile tunataka zile za kituoni zibaki hizo hizo hatutaruhusu mtu gari baiskeli pikipiki ziingize chochote kituoni wakati wa zoezi la kupiga kura.
Ndio maana ya kulinda kura
Sio zile zinazopigwa ndani ya kituo
Bali zinazotoka nnje ya kituo
Kwenda kujazilishia
Wakala kazi yake ni ndani na
Sisi wananchi kazi yetu ni kuzuia zile za nnje zisiingie ndani ya kituo
Nasema nitasubiri mita 200 kwa ajili ya kazi hiyo
Hilo bao la mkono mnaloshirikiana na tume halipo
Kwanza niseme hatuko tayari kuvunja sheria zilizowekwa japo wakubwa hawa jk NEC na police wamedhamiria kuzivunja sisi vijana tunasema tupo tayari kwa lolote ili mradi sheria za uchaguzi zinafuatwa na si vinginevyo./
Lengo kuu la kukaa mita 200
Ni kulinda mtu yoyote atakaeingia kituoni akiwa na makaratasi ya kura hatutamruhusu kuingia kwa namna yoyote ile tunataka zile za kituoni zibaki hizo hizo hatutaruhusu mtu gari baiskeli pikipiki ziingize chochote kituoni wakati wa zoezi la kupiga kura.
Ndio maana ya kulinda kura
Sio zile zinazopigwa ndani ya kituo
Bali zinazotoka nnje ya kituo
Kwenda kujazilishia
Wakala kazi yake ni ndani na
Sisi wananchi kazi yetu ni kuzuia zile za nnje zisiingie ndani ya kituo
Nasema nitasubiri mita 200 kwa ajili ya kazi hiyo
Hilo bao la mkono mnaloshirikiana na tume halipo
Hakipikwi wala hakiliwi kitu hadi kielewekewanawake mkapike wame zenu tutasubiri kula mkong'oto wa fidifosi
sasa watoto watalishwa na nani, maana hadi bekitatu atakuwa analinda kuraHakipikwi wala hakiliwi kitu hadi kieleweke
Labda tu uji wa watoto ambao utapikwa mapema sana na kujazwa kwenye kidumu cha lita tano teh siku hiyo sio thermos
Sheria gani inayokuruhusu na kukupa nguvu wewe kuwa mlinzi? Sheria ya uchaguzi haikupi hiyo kazi uliyojitungia.Kazi hiyo ya wakala wa chama chako.Wewe usije vunjwa miguu bure.MBOWE wala LOwasa hawawezi kuja kukuwekea dhamana wala kulisha familia yako
Tuko vizuri kutekeleza amri ya rais na Nec ..ole wao wanaofikiria kuleta chokochoko