Recent content by Jayspeed

  1. Jayspeed

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Je kuna ulzaima kuwarudisha waliotolewa kwa mkopo?? Gilmour, Gallagher pamoja na Emarson kama hatutafanya usajili dirisha hili dogo... Maana siku hiz mchezaj akiwa na dall tu za mafua wanampiga nje kwanza so inahtajka kuwa na wachezaj wengi machaguo ya kutosha yao gezeke .. Swala la pili Saul...
  2. Jayspeed

    Muwa uliozamisha meli

    Swala la wakuu wapya lipo tu na list ipo kitambo na wanaotoka wanajulikana pia labda abadili mkeka kutokana na matokeo ya ugenini au nyumbani....
  3. Jayspeed

    Muwa uliozamisha meli

    Kuna story fulani kipindi fulani niliisoma iliitwa Muwa uliozamisha meli.. yule nahodha wa meli ile alipokuwa akisafiri na miwa mitamu akaamua aonje kidogo baada ya kuonja akanogewa akaanza kula mwisho wa siku alisinzia na chombo kikazama na habari yake ikaisha.. Story ile ilinipa mawazo mengi...
  4. Jayspeed

    TANZIA Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar

    "Maisha ni Hadithi tu. Maisha ya mwanadamu ni hadithi tu hapa duniani, basi ewe ndugu yangu kuwa hadithi nzuri kwa hao watakaosimuliwa" Rais Mstaafu Alhassan Mwinyi. Hakuna asiyeitamani kuisikiliza hadithi nzuri ya Jamedari aliyelala kwa sasa Rais Dr John Pombe Magufuli, kama yupo basi huyo ana...
  5. Jayspeed

    Simba Sports Club (Wekundu wa Msimbazi) | Special thread

    Tusipoangalia Simba tutafelia kwenye kiungo kwanini... Lwaga sio mmbaya sana ila pia sio mzuri sana katika wepesi wa kukaba bado ni mzito labda mazoez na tactics za kocha mpya zitamfanya bora zaidi lakini hapo ndipo tutafelia endapo kocha hataamua kuja kuanza na Mkude.. kingine Chama arudi rasmi...
  6. Jayspeed

    Mafanikio yako ni kama chachu

    Napoandika haya sio kuwa najua sana ila kias nachojua nashirikisha wanajamii wenzangu.. Nlipokosea tukosoane tufundishane ili kuongeza uelewa kwa wengine... . Mafanikio ni kama chakula ukipendacho, na wabaya wako ni kama chachu". Hakuna binadamu ambae amefanikiwa kirahisi yaani moja kwa moja...
  7. Jayspeed

    Jikumbushe umakini wako ulipoanzia

    Lakini wakati m Lakini wakati mwingine unaposhika chupa ile unaishika kwa makini zaidi ili iwe salama ndivyo maisha yalivyo wakati unapasua chupa ni sawa na wakati ambao umefeli kwenye maisha utalaumu kila kitu utajiona hufai lakini unapopata nafasi nyingine huwezi ichezea kwa uzembe kama mwanzo
  8. Jayspeed

    Sumu ya panya inaweza kumuua paka ?

    Kama binadamu anaweza kufa kwa sumu hiyo ya panya sembuse paka ndugu yangu
  9. Jayspeed

    Jikumbushe umakini wako ulipoanzia

    Jifunze kushikilia vitu, watu au hata maslahi unayoyapenda kwa umakini zaidi sababu sio kuwa unavipoteza kwa kukosa umakini hapana umakini unao sana ila hukumbuki ulianzia wapi umakini wako kabla hujasahau. Ngoja nikukumbushe...umakini wako ulianza pale ulipokuwa unatumwa chupa ya chai na mama...
  10. Jayspeed

    Why Africans are poor.

    Dah hii imenigusa vilivyo inastahili elimu hii ipitie katika kila akili ya mtu hasa sisi waafrika
  11. Jayspeed

    Q-NET Company "biashara mtandao" ni utapeli unaoenea kwa kasi Tanzania. Serikali mko wapi?

    Kinachotokea ni ufinyu wa akili na umasikini wetu watanzania .. Tamaa za kutaka kumiliki vitu vizuri kwa haraka shida sio kutolea jasho la mwili hata jasho la ubongo wako hakuna mafanikio ya style hii.. Nawaangalia vijana wengi sana wanapotea wanakimbilia huko kila kukicha na ukiangalia na elimu...
  12. Jayspeed

    Q-NET Company "biashara mtandao" ni utapeli unaoenea kwa kasi Tanzania. Serikali mko wapi?

    Hahahah pesa za rahisi hii tunaita greedy akili yoyote ya mwanadamu inapotajiwa pesa nyingi ndani ya kipindi kifupi hasa akiwa kwenye shida huchanganyikiwa na kujiona ametatua matatizo yote kwa kipindi kifupi.. Pale kuna vijana wengi sana wapo je hujiulizi mbona Tanzania hakuna ongezeko la...
  13. Jayspeed

    Q-NET Company "biashara mtandao" ni utapeli unaoenea kwa kasi Tanzania. Serikali mko wapi?

    Kwa akili tu inayoeleweka saa kuuzwa ml.5 sio tatizo zipo nyingi sana hata zaidi ya hapo ila shida inakuja je hiyo saa ya ml5 inakufanyia nini mpaka urudishe hela yako na zaidi kama sio baada ya kutoa hizo hela hofu yako inakulazimisha kufanya kazi ya kudanganya wengine ili upate hela yako na...
  14. Jayspeed

    Q-NET Company "biashara mtandao" ni utapeli unaoenea kwa kasi Tanzania. Serikali mko wapi?

    Kwanini lakini ongezeko la ukosefu wa ajira Tanzania ndio unachangia ongezeko la utapeli wa mitandaoni... Mfano hawa qnet hawana huruma kabisa yaan wanataka kukuangamiza wewe uangamize na ukoo wako maana hela watakayoomba utaenda kuchangisha na ukoo kama huna na baada ya hapo utaalika ndugu zako...
  15. Jayspeed

    Dr. Shika aandaliwa Tamasha la usiku wa 900 itapendeza

    [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Back
Top Bottom