mkuu jitambue....si kila kitu ni siasa hii nchi ni ya watanzania wote.....km kuna mambo hayaendi vizuri nivyema wadau wakazungumzia pasipo.Tz inaweza ikaendelea kuwa kisiwa cha AMANI kama utaratibu wa kisheria utafatwa....and si kila anayesuport UZI huu ni MPINZANI wa CCM..kamavijana ifikie...
Lusinde ni mwakilishi wa ukawa au wanamtera?..CCM itazid kuporomoka sababu yakuwa na wabunge km hawa...hv km ww ni mpiga kura wake dhen unamwona mbunge uliyemchagua anaongea fikra mgando km jamaaa....utampongeza?...mshenzi kabisa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.