BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,164
Atahamia kwa mkongo
Hiiiiii
Hiiiiii
Hahahaaa sasa hivi umepanga au ndo kama kawa unavamia ofisi za watuuu? manake nasikia unavamia ofisi za watu unatafuta kona unaweka meza na desktop yako unaanza kujiphotoa uko ofisini....
Halafu wewe babu yangu utakuwa hufadhiliki, Kwa Juma pinto umehama, kwa Chicago umehama, sasa hivi unavamia ofisi ya nani?