Baada ya kuachiwa washitakiwa wote kwa mara ya kwanza serikali ilikata rufaa na ndipo jamaa akakutwa na Hatia na hata alipokata rufaa bado mahakama ya rufaa ilishindilia hukumu ile ile ya kunyongwa mpaka kufa. Hiyo ya kifo cha koplo Lema mahakama iliona haina mashiko. Swali ni kuwa " je jamaa...
Inadaiwa aliyehukumiwa kwenye ile kesi maarufu ya wafanyabiashara ya madini yupo Uraia kitambo tu.
Je, alikata rufaa tena baada ya rufaa ya kwanza kushindwa!? Jinsi ile kesi ilivyokamata vichwa vya Habari inawezekana aliyekutwa na hatia na kuhukumiwa "kunyongwa mpka kufa" akatoka jela bila...
Kweli kabisa. Kuna jamaa alikuwa nazo kadhaa. Ila baada ya kuona mizinguo ya vijana kwenye kuleta hesabu akazitia zote sokoni. Hakutaka kabisa kupigizana kelele.
Asubuh
Asubuhi nipo kwenye daladala nasikia makelele ya Zembwela redioni, ithibati ndio imemrudisha!? Au ithibati kilikuwa kisingizio cha !? kummtoa Masoud Kipanya kwenye reli (baada ya kufananisha media na toilet paper)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.