Recent content by JAYJAY

  1. JAYJAY

    Ni kweli jamaa yupo huru uraiani!?

    Baada ya kuachiwa washitakiwa wote kwa mara ya kwanza serikali ilikata rufaa na ndipo jamaa akakutwa na Hatia na hata alipokata rufaa bado mahakama ya rufaa ilishindilia hukumu ile ile ya kunyongwa mpaka kufa. Hiyo ya kifo cha koplo Lema mahakama iliona haina mashiko. Swali ni kuwa " je jamaa...
  2. JAYJAY

    Ni kweli jamaa yupo huru uraiani!?

    Unaniangusha Mkuu! Zombe hakuwahi kuhukumiwa kunyongwa mpaka Kufa.
  3. JAYJAY

    Ni kweli jamaa yupo huru uraiani!?

    Kabisa Mkuu. Ephraim Chigumbi na Ndugu yake Sabinus Chigumbi, Mathias Lukombe na Dereva Taxi Juma Ndugu. Mwenyezi Awarehemu.
  4. JAYJAY

    Ni kweli jamaa yupo huru uraiani!?

    Wewe si uko huko jikoni, unaweza kutujuza Mkuu, inakuwaje jamaa anazurula uraiani.!
  5. JAYJAY

    Ni kweli jamaa yupo huru uraiani!?

    Wewe pia unaweza sema Mkuu!
  6. JAYJAY

    Ni kweli jamaa yupo huru uraiani!?

    Ndivyo inavyosemwa.
  7. JAYJAY

    Ni kweli jamaa yupo huru uraiani!?

    Kati ya hizo kuna ambayo ilihusisha mauaji ya watu wanne!?
  8. JAYJAY

    Ni kweli jamaa yupo huru uraiani!?

    Wewe kweli mwamba
  9. JAYJAY

    Ni kweli jamaa yupo huru uraiani!?

    Inadaiwa aliyehukumiwa kwenye ile kesi maarufu ya wafanyabiashara ya madini yupo Uraia kitambo tu. Je, alikata rufaa tena baada ya rufaa ya kwanza kushindwa!? Jinsi ile kesi ilivyokamata vichwa vya Habari inawezekana aliyekutwa na hatia na kuhukumiwa "kunyongwa mpka kufa" akatoka jela bila...
  10. JAYJAY

    Kwanini pikipiki hizi used zinauzwa kwa wingi?

    Kweli kabisa. Kuna jamaa alikuwa nazo kadhaa. Ila baada ya kuona mizinguo ya vijana kwenye kuleta hesabu akazitia zote sokoni. Hakutaka kabisa kupigizana kelele.
  11. JAYJAY

    Kulikoni tena Wasafi Media inakimbiwa sana sasa na Watangazaji wake maarufu?

    Asubuh Asubuhi nipo kwenye daladala nasikia makelele ya Zembwela redioni, ithibati ndio imemrudisha!? Au ithibati kilikuwa kisingizio cha !? kummtoa Masoud Kipanya kwenye reli (baada ya kufananisha media na toilet paper)
  12. JAYJAY

    Mnaosubiri Iran ya kiislam ianguke mtasubiri sana!!

    Unaweza kumkubali Muislamu ambaye hata namna ya kufanya ibada hajui!?
  13. JAYJAY

    Mnaosubiri Iran ya kiislam ianguke mtasubiri sana!!

    Kwani hawa na ni Waarabu pia!? Tena inadaiwa Shia sio Uislamu wa Kweli! Unaathirika vipi na Iran kama wananchi wake wenyewe wanadai mabadiliko!?
  14. JAYJAY

    Mnaongea na Samia mwambieni Watanzania wanajua yote

    Na ndio maana hata nauli wamejipandishia tu wenyewe na wanajua hakuna atakayeweza kupinga maana huyo mwana mfalme ndiye Naibu Rais.
Back
Top Bottom