Recent content by JAYJAY

  1. JAYJAY

    JamiiForums Tanzania Siku 100 zimepita, Meli ya Uvuvi aliyoizindua Samia, Imeshindwa kuvua samaki hata mmoja

    Jina bandia!? Acha upumbavu wako. Ukiandika jina lako ndio unakuwa na maana sana au!? Kuna makosa ya kutumia hicho unachokiita jina bandia hapa JF!?
  2. JAYJAY

    JamiiForums Tanzania Siku 100 zimepita, Meli ya Uvuvi aliyoizindua Samia, Imeshindwa kuvua samaki hata mmoja

    Wewe mpumbavu kwa kuwa unafanya kazi Lumumba basi unataka na wengine waweke majina kama wewe. Wanakulipa shilingi ngapi kwa kila posti!?
  3. JAYJAY

    JamiiForums Tanzania Kalapina ampondea Sugu

    Soma kwanza huu uzi ulipoanzia! Naamini utapata picha ya kinachojadiliwa. By the way wanasema "fumbo mfumbie mjinga..." . Sasa werevu wameng'amua post ya Kalapina inamlenga nani.
  4. JAYJAY

    JamiiForums Tanzania Pakistan: Mchoma matofali mkristo achinjwa baada ya kunywa maji katika chombo wanachotumia wafanyakazi wenzake waislam

    Mama yako kakuzaa kupitia nyuma kwa kuwa hana Mmaqu
  5. JAYJAY

    JamiiForums Tanzania Unaonaje uzi mpya wa Simba, Yanga na Azam wa msimu wa 2026/27?

    Wagawe tu bure kama Bakhressa anavyogawa hela Ijumaa au waziuze kwa bei kama zile jezi wanazonunua watu Kariakoo za matimu ambayo hata hayajulikani huko duniani uone kama itakosa watu wa kuivaa.
  6. JAYJAY

    JamiiForums Tanzania Feisal salamu anawatumia mabumunda WA SIMBA SC na YANGA SC kujiongezea thamani

    Hoja yako hapa ni nini hasaa!? Kwamba hupendi anachofanya Feisal!? Au hupendi ubumunda wa viongozi Wa Simba na Yanga!? Au hupendi wanachofanya viongozi wa Azam!?
  7. JAYJAY

    JamiiForums Tanzania Ni Dunia ya Jude, na Wote Tunaishi Humo

    Huko huko kukakamaa kwake ndio kumepelekea Birmingham kumpa Heshima kwa kustaafisha jezi yake na ndio huko huko kumefanya Madrid wacheue zaidi ya paundi million 100 kununua huduma yake toka Dortmund.
  8. JAYJAY

    JamiiForums Tanzania Huyu ndiyo Msanii aliyedharaulika zaidi kwenye muziki wa Tanzania? – Kisa cha Rashidi Ziada (KR)

    Hata huko nje wakongwe walioanza kuipigania game hawakupata hela sana kama waliokuja baadae. Na sababu kubwa ni kuwa wao ndio walikuwa pioneers wa game kabla haijawa biashara na unyonyaji uliokithiri wa makampuni kabla ya sheria zenye nguvu za Haki_Miliki.
  9. JAYJAY

    JamiiForums Tanzania Huyu ndiyo Msanii aliyedharaulika zaidi kwenye muziki wa Tanzania? – Kisa cha Rashidi Ziada (KR)

    KR alitengana na Nature wakati Nature alipoenda Halisi. Yeye KR alibaki na Mkubwa Fella ndani ya Wanaume TMK pamoja na Temba na Chege. Unakumbuka goma lao "Kazi Ipo" feat. Q Chillah !?
  10. JAYJAY

    JamiiForums Tanzania Huyu ndiyo Msanii aliyedharaulika zaidi kwenye muziki wa Tanzania? – Kisa cha Rashidi Ziada (KR)

    Zile nyumba alizowapa watoto wa Yamoto bado wanazo!? Au aliwakodisha tu!? Sometimes hawa wadau wanapotezewa na waliowasaidia kwa sababu ya mengi yaliyojificha.
  11. JAYJAY

    JamiiForums Tanzania P-SQUARE SAGA: PETER OKOYE AFUNGUKA KILA KITU — FEDHA, JUDE, PAUL, EFCC, NYUMBA, NA MIGOGORO YA FAMILIA

    Hawa jamaa wanaishi mjengo mmoja hapo Sulurele ndani ya Lagos. Hii inazidi kuwaletea shida zaidi. Mwenzako anafanya birthday party, wewe unalazimika kukimbia kwenda kwa marafiki wakati na wewe ni birthday yako.
  12. JAYJAY

    JamiiForums Tanzania P-SQUARE SAGA: PETER OKOYE AFUNGUKA KILA KITU — FEDHA, JUDE, PAUL, EFCC, NYUMBA, NA MIGOGORO YA FAMILIA

    Hiyo kudhulumu ni madai ya Peter na sio Paul. Pual yeye hana madai yoyote
  13. JAYJAY

    JamiiForums Tanzania Kalapina ampondea Sugu

    Yeye Kalapina aliwahi kudhulumiwa na Sugu kitu gani mpaka aingilie huu mchongo!? Kama unajua tujulishe jukwaani hapa. By the way wewe si ndio umedai Sugu anamkubali mwanae Kalapina mpaka anampaisha _paisha kwenye ngoma zake! Kwa nini asingewaachia hao unaodai walidhulumiwa na Sugu kama unavyodai...
Back
Top Bottom