Recent content by JAYJAY

  1. JAYJAY

    Mnaosubiri Iran ya kiislam ianguke mtasubiri sana!!

    Unaweza kumkubali Muislamu ambaye hata namna ya kufanya ibada hajui!?
  2. JAYJAY

    Mnaosubiri Iran ya kiislam ianguke mtasubiri sana!!

    Kwani hawa na ni Waarabu pia!? Tena inadaiwa Shia sio Uislamu wa Kweli! Unaathirika vipi na Iran kama wananchi wake wenyewe wanadai mabadiliko!?
  3. JAYJAY

    Mnaongea na Samia mwambieni Watanzania wanajua yote

    Na ndio maana hata nauli wamejipandishia tu wenyewe na wanajua hakuna atakayeweza kupinga maana huyo mwana mfalme ndiye Naibu Rais.
  4. JAYJAY

    The ICC issued summons calls the President of United Republic of Tanzania to appear before the court

    Unajua kwa nini Netanyahu anatembelea Marekani pekee na sio nchi nyingine!? Kama hujui na mimi wala sikuambii.
  5. JAYJAY

    Nunua gari kali, jenga ghorofa

    Kuna jamaa yangu aliniambia gari yake kanunua kwa mtu milioni 15 nikakataa kwa aina ile ya gari. Sema ufukara mbaya sana.
  6. JAYJAY

    Nunua gari kali, jenga ghorofa

    Viongozi wachawi wanaona kuweka makodi makubwa ndio ujanja yaani kana kwamba kuwa na gari ni anasa, wakati hayo magari yanakunywa mafuta ambayo nayo yana makodi kibao. Sheenzi kabisa mbwa hawa .
  7. JAYJAY

    China inapinga vikali mataifa ya nje kuingilia masuala ya ndani ya Tanzania

    Kuna weusi wenzako wanajiona waarabu au wanajinasibisha na uarabu, wakati muarabu mwenyewe anawaona watumwa tu. Sasa ole wako umseme mwarabu uone!
  8. JAYJAY

    China inapinga vikali mataifa ya nje kuingilia masuala ya ndani ya Tanzania

    Huyo shoga anasifia uchaguzi , huko kwao wananchi wao wanapiga kura pia!? Hizi takataka za china zinachojua ni kutetea tu maslahi yao hata kama watu wanauawa na kukandamizwa. Maamae zao.
  9. JAYJAY

    Yesu Hadi ana sulubiwa msalabani hakuwahi kujenga. Je Ina maana alikuwa anaishi wapi kabla hajaanza kazi ya ukombozi?

    Hii ina maana waliokuwepo wakati huo walikuwa wanalala mapangoni au sio!
  10. JAYJAY

    Fela na Yamoto : Zile Nyumba Ziliishia Wapi?

    Miaka ile meneja wa Yamoto Ndugu Saidi Fela, kuna nyumba aliwajengea/aliwanunulia vijana wake wa Yamoto bendi. Hivi zile nyumba walipewa jumla au zilikuwa geresha tu za Bwana Fela!?
  11. JAYJAY

    Burna Boy most streamed African artist 2025

    Nigerian niggaz dominate the Africa music game. Aisee Wameishika hasaa.
Back
Top Bottom