Soma kwanza huu uzi ulipoanzia! Naamini utapata picha ya kinachojadiliwa. By the way wanasema "fumbo mfumbie mjinga..." . Sasa werevu wameng'amua post ya Kalapina inamlenga nani.
Wagawe tu bure kama Bakhressa anavyogawa hela Ijumaa au waziuze kwa bei kama zile jezi wanazonunua watu Kariakoo za matimu ambayo hata hayajulikani huko duniani uone kama itakosa watu wa kuivaa.
Hoja yako hapa ni nini hasaa!? Kwamba hupendi anachofanya Feisal!? Au hupendi ubumunda wa viongozi Wa Simba na Yanga!? Au hupendi wanachofanya viongozi wa Azam!?
Huko huko kukakamaa kwake ndio kumepelekea Birmingham kumpa Heshima kwa kustaafisha jezi yake na ndio huko huko kumefanya Madrid wacheue zaidi ya paundi million 100 kununua huduma yake toka Dortmund.
Hata huko nje wakongwe walioanza kuipigania game hawakupata hela sana kama waliokuja baadae. Na sababu kubwa ni kuwa wao ndio walikuwa pioneers wa game kabla haijawa biashara na unyonyaji uliokithiri wa makampuni kabla ya sheria zenye nguvu za Haki_Miliki.
KR alitengana na Nature wakati Nature alipoenda Halisi. Yeye KR alibaki na Mkubwa Fella ndani ya Wanaume TMK pamoja na Temba na Chege. Unakumbuka goma lao "Kazi Ipo" feat. Q Chillah !?
Zile nyumba alizowapa watoto wa Yamoto bado wanazo!? Au aliwakodisha tu!? Sometimes hawa wadau wanapotezewa na waliowasaidia kwa sababu ya mengi yaliyojificha.
Hawa jamaa wanaishi mjengo mmoja hapo Sulurele ndani ya Lagos. Hii inazidi kuwaletea shida zaidi. Mwenzako anafanya birthday party, wewe unalazimika kukimbia kwenda kwa marafiki wakati na wewe ni birthday yako.
Yeye Kalapina aliwahi kudhulumiwa na Sugu kitu gani mpaka aingilie huu mchongo!? Kama unajua tujulishe jukwaani hapa. By the way wewe si ndio umedai Sugu anamkubali mwanae Kalapina mpaka anampaisha _paisha kwenye ngoma zake! Kwa nini asingewaachia hao unaodai walidhulumiwa na Sugu kama unavyodai...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.