Rais Samia Suluhu amemteua Dkt. Peter Kisenge kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete, akichukua nafasi ya Prof. Mohamed Janabi.
Dkt. Kisenge ni Mkurugenzi wa Tafiti na Mafunzo wa JKCI.
Kufuatia taarifa ya Kifo chake Rais Samia Suluhu Hassan ameandika “Nimepokea kwa masikitiko taarifa za kifo cha Katibu Mkuu Kiongozi Mstaafu, Balozi Paul Rupia. Tumeondokewa na mtu aliyetoa mchango mkubwa katika masuala ya kidiplomasia, mageuzi ya kiuchumi na utumishi wa umma, na aliyeweka mbele...
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Nape Nnauye amesema Tanzania imepewa kibali cha kutunga sheria ya kulinda taarifa binafsi za watumiaji mitandao na usalama wake.
Klabu ya Azam imemtangaza Denis Lavagne (58) Raia wa Ufaransa kuwa Kocha wao Mkuu akirithi mikoba ya Abdihamid Moalin, Lavagne ana uzoefu na soka la Afrika kwa miaka zaidi ya 14 toka alipoanza kuifundisha Coton ya Cameroon (2007-2011) na baadaye USM Alger ya Algeria.
“Hata haieleweki kimejibiwa kitu gani? Na kwa nini Issue ya Yanga uharaka wa kujibu unakuwa mkubwa mno?”
“Kanuni hizi hizi zilizombadilisha Chikwende Kwa Kahata?Kanuni hizi hizi zilizomhalalisha Kibu kucheza bila kupata uraia?
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limefuta usajili wa winga wa Klabu ya Young Africans, Tuisila Kisinda kwenye orodha ya wachezaji 12 wa kigeni watakaocheza msimu huu.
Kwa mujibu wa TFF, usajili huo umefutwa kutokana na Klabu ya Yanga kuchelewesha usajili wake.
Liz Truss ametangazwa , kuwa Waziri Mkuu wa Uingereza kupitia chama cha Conservative, baada ya kupata kura 81,326 dhidi ya mpinzani wake wa karibu Rishi Sunak aliyepata kura 60,399.
Mahakama ya Juu nchini Kenya imeidhinisha Uchaguzi wa William Ruto kuwa Rais Mteule wa Kenya baada ya kesi iliyowasilishwa na Mpinzani wake katika Uchaguzi huo Raila Odinga kukosa ushahidi wa kutosha.
Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amesema wananchi ndio walioshauri Serikali ipanue wigo wa tozo za miamala kwa kujumuisha miamala yote ya kielektroniki, ili wananchi wote wachangie maendeleo.
Wengi wanapokosea: Hakuna mtu anayetaka kusikia kuhusu matatizo yako, ukipata fursa ya kuwasiliana na mtu aliye na fursa/anayefanya maamuzi uwe na proposal ambayo ina fursa kwake/inayoleta faida kwake, uwe na suluhisho la changamoto fulani inayomsibu, atakusikiliza!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.