Mara zote unapotokea wizi wa mali za uma (kwa nchi yetu )ukagundulika au kuwa hadharani adhabu yake ni KUJIUZULU ama kurudisha sijui nani aliipitisha na ndo maana zinachotwa wachotaji wakijua adhabu watakayo kutana nayo yakiboya. Hili lisipofanyiwa marekebisho litaendelea kuwepo vizazi hadi...
Mpaka lini tutaendelea kuletewa katiba iliyotungwa na kundi la watu wachache? Matokeo yake wanaingiza interest na maslai yao na kundi lao majority mnapuuzwa still unaunga mkono
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.