Mwanamke huyu unamfanyaje?

Mwanamke huyu unamfanyaje?

Makubaliano Yao. Uenda mwanamme analijua Hilo na Ndio maana ugomvi wa Kwanza alikausha tu.

Na kuwatimua si sahihi ktk hali ya hasira angesubiri wakitulia amuulize na ndipo Atoe maamuzi.
 
Kawaida ninavyojua mimi, maneno yanayotamkwa wakati wa hasira huwa yana ukweli kwa kiasi kiubwa in case yakifanyiwa upelelezi wa kina..

Hilo suala lifanyiwe uchunguzi wa kina likiwa bado bichi.. ipo siku mtu ataumbuka!

Yanafanana na yale yanayotamkwa mtu anapokuwa kalewa!
 
habarin wadau!
kuna ndoa ina ugomvi hapa mtaani kwetu kila ikitokea mwanamke na mwanaume wamegombana mwanamke anamwambia mwanaume "ndo maana una lea mtoto wa mwanaume mwenzio" hawa wanandoa wana mtoto mmoja inayedaiwa si wa huyu mwanaume sasa jana baada ya ugomvi katamka tena kauli hiyo hiyo mwanaume kawatimua wote mtoto na mwanamke.
basi ikabidi majirani kuingilia baada ya mambo kuwa magumu, kumuuliza mwanake baba wa huyo mtoto ni nani anaomba samahani anadai eti ni hasira tu huwa anatamka hivyo.

hivi ni halali mwanamke kutamka kauli kama hiyo kwa ksingizio cha hasira.
je hatua ya huyu mwanaume kuwatimua wote ni sahihi mtoto ana miaka 2 wa kiume.

Mwanamke yuko sahihi yawezekana anajua madhaifu ya mmewe hadi akaamua kuleta mtoto wa nje, sio wakuingilia hao
 
Hadi post #20 sijaona proposal ya DNA

toka nausikia huu ugomvi jana nilifikiria wangefanya dna test lakin nazan cost pia inaweza kuwa ishu na awareness.
 
Mwanamke yuko sahihi yawezekana anajua madhaifu ya mmewe hadi akaamua kuleta mtoto wa nje, sio wakuingilia hao

shida ni kwamba huyu mtoto ndo victim mkubwa wa huu ugomvi sababu hata huyo baba halisi pengine hamfahamu.
 
Makubaliano Yao. Uenda mwanamme analijua Hilo na Ndio maana ugomvi wa Kwanza alikausha tu.

Na kuwatimua si sahihi ktk hali ya hasira angesubiri wakitulia amuulize na ndipo Atoe maamuzi.
akitulia anadai ni hasira tu kuongea vile...
 
Napenda mara moja moja kumuudhi nimpendaye(nafahamu namna ya kumshusha hasira)
kwa sababu hasira hufanya mtu kunena yaliyomo katika nafsi yake na yaliyo ya kweli kabisa..
Pengine huyo mwanamke katumia tafsida huyo mwanaume hamfanyi vilivyo kummimbisha au ni kweli huyo mtoto ana baba yake...
 
ndoa haipo, hakuna changamoto kwa mwanamme kama kulea mamluki wakati yeye hana wake.
 
Kuna siku niliuliza 'nini hasa kinafaidiwa ktk ndoa? [ambacho hakifaidiwi huku nje ya ndoa]' nikaishia kupewa faida ambazo hata nje zinapatina na kuambiwa hadi niingie ndio nitaziona [hazielezeki!] Teh teh teh! Embu one day njoo na uchambuzi wa haya makitu!
:focus:
Hapo ni kilaza + kilaza na jawabu lake ndio kama hayo yanayojitokeza huko!

Kafanya la maana sana huyo me alivyomtimua huyo ke!

Mapenzi na akili ni vitu viwili tofauti but na wapenzi wanapokosa akili mapenzi ni za zaidi ya upuuzi!

Haa, lakini usikate tamaa, utamu wa ngoma ingia ucheze
 
habarin wadau!
kuna ndoa ina ugomvi hapa mtaani kwetu kila ikitokea mwanamke na mwanaume wamegombana mwanamke anamwambia mwanaume "ndo maana una lea mtoto wa mwanaume mwenzio" hawa wanandoa wana mtoto mmoja inayedaiwa si wa huyu mwanaume sasa jana baada ya ugomvi katamka tena kauli hiyo hiyo mwanaume kawatimua wote mtoto na mwanamke.
basi ikabidi majirani kuingilia baada ya mambo kuwa magumu, kumuuliza mwanake baba wa huyo mtoto ni nani anaomba samahani anadai eti ni hasira tu huwa anatamka hivyo.

hivi ni halali mwanamke kutamka kauli kama hiyo kwa ksingizio cha hasira.
je hatua ya huyu mwanaume kuwatimua wote ni sahihi mtoto ana miaka 2 wa kiume.

Kwa nini mwanamke huyu anakuwa na ugomvi na mumewe kila mara, je aina ya ugomvi wenye ni ipi? nini chanzo chake? Kabla hatuja hukumu kauli za huyu mwenzetu ni busara kujibu maswali haya na kukimbia mbali zaidi ...nini maana ya hasira na yapi matendo yanayo weza kujitokeza ukiwa kwenye peak of losing your temper?
 
sio halali kabisaaa ningekuwa huyo mwanaume ningemkung'uta huyo bi dada hadi afurahi na roho yake
 
Back
Top Bottom