Wadau nataka kufanya hiyo trip niliyoitaja hapo juu kwa basi. Naombeni kutoa ushamba kwa kujibiwa maswali yafuatayo;
1. Inawezekana kufika Mombasa kutokea Dar kwa siku 1?
2. Basi zuri la kwenda huko ni basi gani?
3. Nauli yake ni Sh ngapi?
4. Taratibu za kuvuka Boarder ziko poa au kuna...
Nilishapitia hapo mkuu...ndio nikapata wazo la kupost humu. Maana hiyo gari nimeshaitafuta sana ila nyingi ninazozipata ni 2WD wakati mm napenda ambayo ina 4WD
Habari za leo
Natafuta gari TOYOTA CROWN ATHLETE SERIES
Mwaka: Kati ya 2004 mpaka 2008
Engine isizidi 2500Cc
Iwe ni 4WD (Kwa sababu mara chache chache huwa nasafiri kwenye barabara zenye vilima korofi na zenye utelezi)
BEI IWE RAHISI SANA
Kama kuna muuzaji wa magari mwenye gari yenye sifa...
Habari za leo,
Natafuta gari aina ya Toyota Crown Athlete series
Mwaka: Kati ya 2004 mpaka 2007
Engine isizidi 2500Cc
Iwe ni 4WD (Kwa sababu mara chache chache huwa ninasafiri kwenye barabara zenye vilima korofi na zenye utelezi.
Bei yake iwe rahisi na sihitaji dalali.
Kama kuna muuzaji wa...
Habari za leo
Natafuta gari Toyota Crown Athlete series
Mwaka: Kati ya 2004 mpaka 2008
Engine isizidi 2500Cc
Iwe ni 4WD (Kwa sababu mara chache chache huwa nasafiri kwenye barabara zenye vilima korofi na zenye utelezi)
BEI IWE RAHISI SANA NA DALALI HARUHUSIWI
Kama kuna muuzaji wa magari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.