Wadau nataka kufanya hiyo trip niliyoitaja hapo juu kwa basi. Naombeni kutoa ushamba kwa kujibiwa maswali yafuatayo;
1. Inawezekana kufika Mombasa kutokea Dar kwa siku 1?
2. Basi zuri la kwenda huko ni basi gani?
3. Nauli yake ni Sh ngapi?
4. Taratibu za kuvuka Boarder ziko poa au kuna issues?
Sina mengi ya kuuliza hapa kuhusu huko kwa sababu nikifika huko Mwenyeji wangu atanisimamia kwa kila kitu. Ahsanteni!
1. Inawezekana kufika Mombasa kutokea Dar kwa siku 1?
2. Basi zuri la kwenda huko ni basi gani?
3. Nauli yake ni Sh ngapi?
4. Taratibu za kuvuka Boarder ziko poa au kuna issues?
Sina mengi ya kuuliza hapa kuhusu huko kwa sababu nikifika huko Mwenyeji wangu atanisimamia kwa kila kitu. Ahsanteni!