Recent content by jay jo

  1. J

    Waliokwisharipoti May 1

    Vp usharipoti ww au bado
  2. J

    Waliokwisharipoti May 1

    Hahahaaa!! Sharo nani tena huyo
  3. J

    Waliokwisharipoti May 1

    So transcript tu naweza nikakamilisha mambo.. Bora hata maana nilikuwa nawaza ruti za dar tenah hp
  4. J

    Waliokwisharipoti May 1

    Wadau tujulishane kwa waliokwisha ripoti kwenye vtuo vya kazi.. Je, ukiwa na TRANSCRIPT tu hujachukua cheti wanakataa usajili au
  5. J

    Tarehe ya kuripoti kwa waalimu wapya

    Wamesema AJIRA ZILIZOTOKA ZIMESITISHWA so inavyoonekana wanataka kupanga upya maana makosa mengi yamefanyika sn mfn watu kuwekewa masomo wasoyafundisha afu vyuo vngine km hiyo SEKOMU na watu wengine kukosa majina.. So unataka ukaripoti wp wkt ajira imesitishwa???
  6. J

    MWALIMU: Uliza kuhusu kituo ulichopangiwa

    Katerero ndo nn mkuu # kigogo
  7. J

    MWALIMU: Uliza kuhusu kituo ulichopangiwa

    Unazungumzia hako kasehem ka murangi au musoma vj. Kwa ujumla
  8. J

    MWALIMU: Uliza kuhusu kituo ulichopangiwa

    Umbali wake kutoka town vp.. Yaani kutoka sehemu unapoweza kupanga nyumba ya kuishi
  9. J

    MWALIMU: Uliza kuhusu kituo ulichopangiwa

    Kwahyo vp umeme ushafika maeneo km hayo nilotaja?? Naimani samaki nitaenjoy
  10. J

    MWALIMU: Uliza kuhusu kituo ulichopangiwa

    Bahi dodoma?? Vp we unataka kukimbia huko au
  11. J

    MWALIMU: Uliza kuhusu kituo ulichopangiwa

    Duu!! Vp kuhusu hyo shule na nyumba za kupanga unaweza kupata around??
  12. J

    MWALIMU: Uliza kuhusu kituo ulichopangiwa

    Guys, plz nahitaji mtu wa kunipa details angalau kdg kuhusu SHULE YA MURANGI na eneo husika umbali wake kutoka town na vp kuhusu nyumba za kupanga na huduma za jamii.. Plz!!
  13. J

    Tuwe wakweli: Diploma vs Degree kwenye ualimu

    Kajitu kanasoma kanachapwa stick kananyeshwa poridge bado eti na kenyewe kanajiona kako sawa na mtu wa digree.. Size yenu ni A-level ila mmewazidi kdg kwa vijikozi vya ualimu tu.. NDO MAANA MTU WA DIGREE ANAWAFUNDISHENI WOTE
Back
Top Bottom