Recent content by Jay El

  1. Jay El

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Kwani wewe uliwahi toa story gan hapa? Kaa kushoto.. umelazimishwa kusoma? Fanya yako achana na sis... pita ivi[emoji117][emoji117][emoji117][emoji117][emoji117]unajifamya Unajua sana wewe mdada Unajua inaudh sana.. mtu ajaombwa alete story kajitolea tu.. hajalazimisha mtu kusoma... hii story...
  2. Jay El

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Collwill ni rasmi sasa ni kitasa cha Chelsea Liver watulie sasa.. yule dogo katulia sana kwenye ukuta Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
  3. Jay El

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Wewe ni chiz tu Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
  4. Jay El

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    We tukidanganywa unateseka nn si ukavae tu dera huko. Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
  5. Jay El

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Wewe ni n'gombe sana unamwambia ahakikishe wewe kama nani? Huo muda wa kuandika unamlipa? Kama hukuipenda ungepita hivi.. unatetea hadhira ... hadhira ipi? Tunga ya kwako acha uzuzu.. Huku hata username unayotumia ni fake alaf unazungumzia uhalisia kwani we ndo Mello? Sent from my SM-A107F...
  6. Jay El

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Insider kwanza tunakushukuru kwa experience ambayo umetupa hata kama isingekua kweli ila the way una narate mazingira ni uhalisia na inatoa picha halis ya baadh ya issues so tunashukuru sana.. Tatizo la JF ni wajuaji sana hata iliongea jambo lolote kuna wa kucŕush na wa kuunga mkono ni haki na...
  7. Jay El

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Iv amna DM mwingine ad watoe izo £100m kwa huyo dogo? Waende hata Portugal au Germany hawawezc kosa sema Scout wa Chelsea wamekariri majina 2...Wachukue wa 30m wawili hawawez zingua wote Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
  8. Jay El

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Insider achana na hawa wahumi hata kama ni kamba sisi tumezielewa kwani wamelazimishwa kusoma? Pili pili usiyoila yakuwashia nn .. achana nao leta v2 tatzo humu jf kila mtu mjuvi sna Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
  9. Jay El

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Insider saa 19 ndo hii Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
  10. Jay El

    I dedicated my Monday to read this beautiful story

    A gģ9y4 a Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
  11. Jay El

    Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

    BM fanya mpango utupe hata hints ya nn kiliendelea na Caryn Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
  12. Jay El

    Hivi ni kweli waliozaa pamoja hawaachani hata wasipooana?

    Jidanganye 2... yani mtu ukute mtt ana 2yrs anajua baba yake ni Juma af unaanza kumdanganya ni wewe it won't work out.. utachapiwa tuu na mm nasema uchapiwe tu maana umeyataka.. Kuna siku mwanamke atatamani kubadilisha mboga tu utakuta wamekumbushia its only a matter of time... Keep in your mind...
  13. Jay El

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Amekuambia mke yupo kwao bada ya kumfuma na sms za Prisc Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
  14. Jay El

    Kwanini wanawake wengi wakiwa kwenye umri mzuri (prime age) lazima wachague wanaume wasio sahihi?

    Mimi amenitafuta after 2 kids na kuachwa nashangaa m2 ananichek insta anaanza kujiliza japo nilimpenda ila kwa sasa i ve no time haswaa nikikumbuka dharau alizonifanyia
  15. Jay El

    SI KWELI Uume wa mtoto ukidondokewa na kitovu chake huacha kusimama

    Asanteni sana jf kwa ufafanuzi mujarab
Back
Top Bottom