yani hii Tanzania kuna vitu vinafanyika vinasikitisha na kuumiza lakini viongozi wa Dini kimyaa wanaharakati kimyaa.
kwanini serikali awamu ya Tano inaandaa machafuko?????
ukishaona hivyoo kuna neno litaongelewa taree 1 kuwapooza wafanyakazi.
TUCTA
CWT
BUNGE
awamu hii vimeng'olewa meno ila kunasiku kutatokea mgomo waKUFA mtu pasipo fanyika mabadiliko.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.