kufikiri kuwa profesa shivji anaweza kutoa maoni bila kupitia kwanza hoja husika kunatia mashaka umakini wa wasomi wetu katika masuala nyeti yanayogusa maslahi ya wananchi moja kwa moja. ikiwa ni kweli kuwa hivyo ndivyo ilivyotokea basi ninamuomba yeye pamoja na wasomi wenzake na watu wengine...
polisi hawajaasi dola la sivyo wangepelekwa kwenye mahakama za kijeshi au za kiraia...wanafanya wanachoelekezwa na wakubwa wao wa kazi. wasipofanya hivyo utawalipa wewe mishahara na kutunza ajira zao? tukiweza kuanzia leo tususie wabunge wote na amiri jeshi mkuu wa Tanzania ambao kila wakati...
mingoi, picha unayotumia inafanana na vazi la kichungaji...kauli unazotoa ni za kishetani...una agenda ya kudhalilisha ukristo?
siku zote anayeuawa huonekana kuwa mwovu kwa yule anayeua...wayahudi walimwona yesu kuwa mwovu wakamuua...kwako wewe na wenzako kila anayeunga mkono chadema anastahili...
polisi hawana mkataba wowote na raia. polisi wana mkataba na serikali. raia kugombana na polisi ni kupotea njia. 2010 hatukupiga kura kuchagua igp, rpc au ocd. tulichagua raisi, wabunge na madiwani. hao wakiwa upande wetu polisi hawatatuua tena. ccm wangeambiwa slaa au mbowe kapigwa risasi...
wewe mgeni wa nchi hii? hao askari watahamishwa mkoa, kesi za uongo zitafunguliwa hapa na pale kuvuta mda. wananchi wakisahau yanazuka mengine na hayo yanakufa kifo cha asili. kwangu binafsi sina msamaha kwa serikali na polisi, labda kama wataomba msamaha kwa raia na kuwaadhibu waliohusika bila...
polisi hawatakubali uandamane ingawa si jukumu lao, serikali haipendwi tena kwenye mioyo ya watanzania, inaishi kwa kutegemea sheria kandamizi na umafia kama aliofanyiwa ulimboka.
tanzania ingekuwa imeendelea kama marekani rais angesujudiwa,mawaziri wangeabudiwa na mafisadi wangeitwa malaika.
sio ajabu "mbayu wayu" kupigwa manati. zamu ya madaktari, walimu walishindwa siku nyingi.
mh, spika aliwahi kusema "waziri mkuu hawezi kusema uongo". ni sawa na kusema tanzania inaongozwa na malaika. rais amesema serikali haiwezi kutenda maovu. kweli serikali haina dini na ndiyo sababu inahalalisha uongo. poleni sana mnaougua.
chama dhaifu hutokana na taifa dhaifu,udhaifu wa ccm ni kiashiria cha udhaifu wa taifa letu. mwenye macho akikubali kuongozwa na kipofu tatizo liko kwa nani?
tuyaache magazeti yaandike yaandikavyo. hoja za madaktari ni za kizalendo kuliko hasira za 'wakusanya kodi' wetu. madaktari wamechoka kubeba uovu wa serikali.
ni kama mbuga za wanyama simba wawili wanakamata nyati mmoja nyati mia wanakimbia na kumuacha mwenzao. ulimboka ni mwema kuliko wanaopanga bajeti za afya nchini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.