Ulimboka asalitiwa

Ulimboka asalitiwa

Wewe ni mpuuzi asiyefikilia unatoka wapi, uko wapi na unaenda wapi katika serikali ya kidkitata kama hii iliyojaa uchovu wa fikra pole sana kwa kuishiwa na fikra katika ubongo wako.
 
Masikini madaktari wetu! Wengine masikini wameingia tu kwenye Mkumbo kwa vitisho vya kina Ulimboka!

Unakuta daktari anaitwa Deepak Patel naye aligoma hahaha :happy::happy::happy:

Poleni sana madaktari mnahitaji kupata viongozi wapya.
 
tanzania ingekuwa imeendelea kama marekani rais angesujudiwa,mawaziri wangeabudiwa na mafisadi wangeitwa malaika.
sio ajabu "mbayu wayu" kupigwa manati. zamu ya madaktari, walimu walishindwa siku nyingi.
 
Back
Top Bottom