kuna tatizo la msingi tulilonalo watanzania, na tusiporekebisha mitazamo, hali yaweza kuwa mbaya zaidi miongoni mwetu na tutadharauliwa zaidi na ajirani zetu. Jicho la3 anahisi kwamba Mbunge toka Kenya aliyewasilisha hoja ya kuruhusu vikao vya Bunge la Eac vifanyike kwa mzunguko anatoka chama...
waislam wana haki ya kuwa na mahakama ya kadhi kama sehemu ya ibada kwao kama walivyo na misikiti ambayo ni sehemu ya ibada. Serikali yetu haina dini na katiba inasema hivyo. N i kweli kabisa kwamba ni wajibu wa serikali kuzilipia mahakama, kitu ambacho mpaka sasa serikali inakifanya maana...
watafute wanasheria watakusadia kuandaa hati ya madai na kukuwakilisheni mahakamani, ila wanaweza pia kukusaidieni kuandaa hati tu na mkajiwasilisha wenyewe huko mahakamani
kuna tatizo kubwa kwetu sie watanzania hasa wenzetu waliofanikiwa kuanzisha makampuni na hata wananchi wa kawaida. Tatizo lenyewe ni kutothamini vyetu, yaani watu wetu, mali zetu na mazingira yetu, hiyo ndo sababu kubwa inayofanya makampuni yaajiri wageni na kuaacha watanzania maan wanadhani...
nafikiri ni wakati mwafaka sasa kwa tanesco kufanya kazi zake kwa kuzingatia weledi na kuacha siasa na wasiruhusu kuingiliwa na wanasiasa katika kutekeleza mipango yao ya kuzalisha na kusambaza umeme. Kama Tanesco wanaamini kwamba IPTL wanawauzia umeme kwa bei kubwa sana basi waacha kununua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.