STEIN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2010
- 1,772
- 555
Peoples Power!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Nimegundua aina mpya ya ufisadi hapa nchini kwetu na hasa hii inawaathiri Vijana wasomi. Ufisadi huu ni ule wa makampuni mengi makubwa na madogo kuwaajiri ndugu zao ambao si watanzani, hasa wahindi , waarabu, wazungu, wkenya kwa kisingizio cha hawa ni watalamu ile hali watanzania wakiachwa bila kazi na wengine kuachishwa kazi bila sababu za msingi. Nina mifano ya makampuni hayo na nikihitajika nitayataja na wafanyakazi wanaowaita experts wakati kimsingi wanafahamu kiingereza tu. Ukija kwenye uwezo wao wa shule na uzoefu utakuta hawana lolote.
Nina jina la kampuni ambayo walimchukua mhindi kutoka india na wakampa Mtz, kazi ya kumtrain baada ya mhindi kuelewa kazi wakamwachisha MTz na sasa yuko mtaani, kwa yeyote anayehitaji ushahidi niko tayari kuutoa hata mahakamani.
Kuna makampuni kibao wageni wanafanya kazi hata bila kuwa na kibali na wanalipwa mshahara wa kati ya dola 5000 na 25000 huku wengine wakiwa hawana hata vibali kutoka uhamiaji. Hivi watanzania wanakosa kazi huku wageni wakijazana humu nchini kwa nini? Hivi idara uhamiaji inafanya nini au wanasubiri hadi vijana tuanze kuchukua sheria mkononi ndio waje watupige mabomu ya machozi?
Makampuni mengi siku hizi yanafanya kazi ya kutangaza nafasi za ajira lakini kiuhalisia hakuna anayeajiriwa, mfano upo wanatangaza kazi kila gazeti lakini sioni anayechukuliwa wa.
Kama hii hali haitarkebishwa, vijana wote tuwe pamoja na kuhakikisha kuwa hali hii inatokomezwe, najua hili bomu litalipuka muda wowote, ukija kwenye biashara wachina wamejaa kila kona wanatoa vitu kutoka kwao wanakuja kuuza humu kwa bei ya jumla reja reja watanzania tutatokaje. Nadhani hili halina ubishi uwe CCM, CUF wala CDM wote tunapigika maana nachoshukuru ni kwamba CDM wamebana kiasi kwamba hakuna tofauti kati ya kada wa CCM na CDM wote tuna pigika.
Swali langu la mwisho kwa watanzania wanaofanya kazi nje, je na wao wanafanya kazi bila Permit? Je kodi hawakatwi?
Hii ni aina mpya ya ufisadi utadhani ni shama la bibi, kila mtu avune anachokitaka. Hii haiwezekani au Vijana mnasemaje? Nchi ishauzwa tuikomboe.
Nimegundua aina mpya ya ufisadi hapa nchini kwetu na hasa hii inawaathiri Vijana wasomi. Ufisadi huu ni ule wa makampuni mengi makubwa na madogo kuwaajiri ndugu zao ambao si watanzani, hasa wahindi , waarabu, wazungu, wkenya kwa kisingizio cha hawa ni watalamu ile hali watanzania wakiachwa bila kazi na wengine kuachishwa kazi bila sababu za msingi. Nina mifano ya makampuni hayo na nikihitajika nitayataja na wafanyakazi wanaowaita experts wakati kimsingi wanafahamu kiingereza tu. Ukija kwenye uwezo wao wa shule na uzoefu utakuta hawana lolote.
Nina jina la kampuni ambayo walimchukua mhindi kutoka india na wakampa Mtz, kazi ya kumtrain baada ya mhindi kuelewa kazi wakamwachisha MTz na sasa yuko mtaani, kwa yeyote anayehitaji ushahidi niko tayari kuutoa hata mahakamani.
Kuna makampuni kibao wageni wanafanya kazi hata bila kuwa na kibali na wanalipwa mshahara wa kati ya dola 5000 na 25000 huku wengine wakiwa hawana hata vibali kutoka uhamiaji. Hivi watanzania wanakosa kazi huku wageni wakijazana humu nchini kwa nini? Hivi idara uhamiaji inafanya nini au wanasubiri hadi vijana tuanze kuchukua sheria mkononi ndio waje watupige mabomu ya machozi?
Makampuni mengi siku hizi yanafanya kazi ya kutangaza nafasi za ajira lakini kiuhalisia hakuna anayeajiriwa, mfano upo wanatangaza kazi kila gazeti lakini sioni anayechukuliwa wa.
Kama hii hali haitarkebishwa, vijana wote tuwe pamoja na kuhakikisha kuwa hali hii inatokomezwe, najua hili bomu litalipuka muda wowote, ukija kwenye biashara wachina wamejaa kila kona wanatoa vitu kutoka kwao wanakuja kuuza humu kwa bei ya jumla reja reja watanzania tutatokaje. Nadhani hili halina ubishi uwe CCM, CUF wala CDM wote tunapigika maana nachoshukuru ni kwamba CDM wamebana kiasi kwamba hakuna tofauti kati ya kada wa CCM na CDM wote tuna pigika.
Swali langu la mwisho kwa watanzania wanaofanya kazi nje, je na wao wanafanya kazi bila Permit? Je kodi hawakatwi?
Hii ni aina mpya ya ufisadi utadhani ni shama la bibi, kila mtu avune anachokitaka. Hii haiwezekani au Vijana mnasemaje? Nchi ishauzwa tuikomboe.