Recent content by JASPER JACKSON

  1. J

    Siku ya UHURU wa Tanzania bara (9/12): Yaliyojiri maeneo mbalimbali kuhusu kufanya usafi

    Edward Ngoyai Lowasa akimbia tendale ni mwaliko uliotolewa na wakazi wa eneo wakimkaribisha katika zoezi la kufanya usafi eneo hilo.
  2. J

    Rais Magufuli aongezewe Ulinzi

    chama kilichomteua kuwa mgombea wake kilimjua na kumfavamu, vyema kuliko hata sisi tulikuwa nje ya chama chake, ni ukweli usiopingika CCM inajijenga upya na kur urudisha hadhi yake kwa serikali na wananchi, suala la ulizi tumuache Allah tu
  3. J

    elimu ya watu wazima tanzania.

    juhudi za Mwalimu Nyerere zilikuwa ni kuhakikisha watanzania wote wanajua kusoma na kuandika, nimesoma hobuta yake ya Elimu Haina Mwisho " education never end" ya mwaka 1969. 12. 31, nilliona neno " matokeo makubwa" na ndipo nihisi hata BRN tuyoikopa Malaysia waliichukua kwetu katika miaka...
  4. J

    elimu ya watu wazima tanzania.

    juhudi za Mwalimu Nyerere kilikuwa ni kuhakikisha watanzania wote wanajua kusoma na kuandika, nimesoma hobuta yake ya Elimu Haina Mwisho ya mwaka 1969. 12. 31, nilliona neno " matokeo makubwa" na ndipo nihisi hata BRN tuyoikopa Malaysia waliichukua kwetu katika miaka hiyo. ndugu wasomi na...
  5. J

    kazi

    waza kuzalisha ajira na sio kuwaza kazi expand your mind
  6. J

    kuanzisha kampuni

    ndugu watanzania, mimi Nina wazo la kuendeshwa kiwanda cha kuboresha mazao ya nyuki kwa kuzalisha asali na nta au wax. hivyo kama upo interested unakaribishwa kwa masharti yafuatayo kwanza: huwe unaishi DSM pili: huwe na elimu ya juu katika fani za banking and finance, law, business...
  7. J

    Kidumu Chama Cha Mapinduzi

    Chama cha mapinduzi siku zote ni chama makini kinachoendeshwa kwa misingi ya kanuni na taratibu pasi bila ubabe, kwa miaka iliyopita chama hiki kikongwe kilionekana kufa kumbe kilikuwa kinajitathmini upya na kujisahihisha upya. Kutokana na kasi hii ya Rais Magufuli ni imani yangu kuwa CCM...
  8. J

    Kidumu Chama Cha Mapinduzi

    Chama Cha Mapinduzi siku zote ni chama makini kinachoendeshwa kwa misingi ya kanuni na taratibu bila ubabe. Kwa miaka iliyopita chama hiki kikongwe kilionekana kufa kumbe kilikuwa kinajitathimini upya na kujisahihisha upya. Kutokana na kasi hii ya Rais Magufuli ni imani yangu kuwa CCM...
  9. J

    Mwenge wa Uhuru upo kwa faida ya nani?

    mwenyekiti bado ni muhimu kwa nchii ili ukiendelea kujenga udugu na umoja watu, ila taratibu za uratibu wake zitizamwe upya
  10. J

    Chama Cha Mapinduzi(CCM) champongeza Ndg. Elibariki Kingu, mbunge wa Singida Magharibi

    ongera sana chama cha mapinduzi na ongera ndugu mbunge
  11. J

    Magufuli afyeka 50 waliokuwa kwenye orodha ya kushiriki ziara ya Madola

    hii ndo CCM yangu na hayo ndio mabadiliko ya kweli, tumejisahihisha na kujikosoa.
  12. J

    All about Teleportation

    ndugu wanasayansi wetu kimsingi mimi sio mwanasayansi kama nyie ila kupitia hoja hizi nimejifunga mengi niyoyajua. on my point ikiwa mtu halisi atatolewa DNA na RNA zake na kutengenezwa mtu wa mfamo wake kwa njia ya mahabara, nifikirivyo mimi mtu halisi ataishi na mtu nakala ataishi wa nguvu...
  13. J

    January Makamba naamini amepata cha kujifunza

    ila hao hao wahenga walisema ukikaa karibu na waridi na wewe utanukia uwaridi. ongera Kijana Makamba January utakuwa waziri wa mambo ya nje ya nchi
  14. J

    Rais Magufuli amteua Kassim Majaliwa kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania

    nakupongeza sana mh Rais kwa uteuzi wako kwa kumteua ndugu Kassimu Majariwa kuwa Waziri Mkuu wa JMT wa kumi tangu Nchi yetu ijitawale yenyewe, hakika watanzania tutampa ushirikiano makini ili kuleta maendeleo ya watu na pia nategemea atakuwa msomaji mzuri wa hotuba ya Mwalimu Nyerere ya mwaka...
  15. J

    Kutoka viwanja vya shule ya msingi Ruanda Nzovwe Mbeya, Mkutano wa Edward Lowassa

    Unataka mabadiliko - unayoyahubiri kutoka kwenye "kiti" chako cha baa unayoenda kila siku unapotoka kazini, unawahubiria watu wale wale unaokutana nao kila siku, tena unajisifu unaipenda baa hii wanakujua unakunywa kwa ku-saini Unataka mabadiliko - wewe unayeenda kunywa baa ya makaburini...
Back
Top Bottom